Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 877
- 4,106
Ofisi Nyingi za serikali zilizokamilika hazina watumishi badala yake watumishi wamerundikana kwenye ofisi zao za zamani wakisubiri hadi waelekezwe kuhamia.
Taasisi za fedha zimehamisha watendaji huku hospitali ikitelekezwa kwa kukosa wataalam .
Uwanja wa ndege unaoweza kuhudumia abiria wa Geita, Kigoma, Rwanda, Bukoba, Burundi na Uganda umetelekezwa.
Hifadhi ya Rubondo iliyokuwa hifadhi ya mazalia ya samaki imekabidhiwa wanasiasa wamalize kuharibu mazalia ya Samaki kwa kigezo kwamba samaki ni mali ya wavuvi.
Mbuga ya wanyama wameingizwa mifugo hakuna serious control inayoendana na mwanzilishi wake mzee JPM
Wanaofanya yote haya ni wale wale wanaokwenda kwenye kaburi lake wakijidai wana uchungu naye ; ni wale wale wanaosema alikuwa jembe, ni wale wale waliopitisha mabilioni ya shilingi kwenda kuendeleza ukanda huu.
Je hizi hujuma mnamfanyia marehemu au mnatufanyia sisi tuliobaki na vizazi vyetu? Tuacheni unafiki mnatukomoa sana wananchi kwa kutokuwa na moyo wa huruma na fedha za umma.
Hadi mabasi mnakataza yasipite kwa JPM mnakisirani gani? Huyu mzee si mlikuwa mnamsifu morning to evining? Watu wa CCM mna roho mbaya sana kama mwenyekiti wenu mnaweza mfanyia ukatili huu baada tu ya kufumba macho basi hata familia zenu ipo siku mtaziuza kwa lengo la kupata mlo
Taasisi za fedha zimehamisha watendaji huku hospitali ikitelekezwa kwa kukosa wataalam .
Uwanja wa ndege unaoweza kuhudumia abiria wa Geita, Kigoma, Rwanda, Bukoba, Burundi na Uganda umetelekezwa.
Hifadhi ya Rubondo iliyokuwa hifadhi ya mazalia ya samaki imekabidhiwa wanasiasa wamalize kuharibu mazalia ya Samaki kwa kigezo kwamba samaki ni mali ya wavuvi.
Mbuga ya wanyama wameingizwa mifugo hakuna serious control inayoendana na mwanzilishi wake mzee JPM
Wanaofanya yote haya ni wale wale wanaokwenda kwenye kaburi lake wakijidai wana uchungu naye ; ni wale wale wanaosema alikuwa jembe, ni wale wale waliopitisha mabilioni ya shilingi kwenda kuendeleza ukanda huu.
Je hizi hujuma mnamfanyia marehemu au mnatufanyia sisi tuliobaki na vizazi vyetu? Tuacheni unafiki mnatukomoa sana wananchi kwa kutokuwa na moyo wa huruma na fedha za umma.
Hadi mabasi mnakataza yasipite kwa JPM mnakisirani gani? Huyu mzee si mlikuwa mnamsifu morning to evining? Watu wa CCM mna roho mbaya sana kama mwenyekiti wenu mnaweza mfanyia ukatili huu baada tu ya kufumba macho basi hata familia zenu ipo siku mtaziuza kwa lengo la kupata mlo