sipendi kuona watu wanasema usariti!!!badala ya usaliti----wanasema rema badala ya lema-----wanasema haroo badala ya haloo-----wanasemo hiko badala ya hicho------wanasema kukuhalibia badala ya kukuharibia----------naomba mjifunze kiswahili
husninyo nimecheka sana,nafikiri sio makusudi kuna haja ya kujireekebisha
halafu hako kaneno "hiko" nakisikia sana radio one,,ina maaana program manager hayupo makini?