FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,777
Kauliza swali, kama haujuwi jibu, ni heri ukae kimhya kuliko kuanza kumuuliza maswali ya kijinga.Umejaribu benki za kigeni?
Kauliza swali, kama haujuwi jibu, ni heri ukae kimhya kuliko kuanza kumuuliza maswali ya kijinga.Umejaribu benki za kigeni?
🚮Kauliza swali, kama haujuwi jibu, ni heri ukae kimhya kuliko kuanza kumuuliza maswali ya kijinga.
Dar ni 2,840 hata ukitaka $1M unapata😂😂
Acha ushamba, nenda kwenye mabank kinachoendelea. Wanaonunua kupitia bf wanapigwa sana hela, ni mpumbavu pekee anayekubali kutumia BF. Gari huwa naagiza na kubargain mwenyewe kazi yangu kumpa wakala kutoa bandarini, kila kitu nafanya mwenyewe.Namshangaa huyu mtu au kaamua kututangazia tu kwamba anataka kununua gari? Online transaction zinahusiana nini na upungufu wa dollar bongo?? Anyways kampuni kubwa zote za magari kama be foward wana ofisi bongo si akalipe cash ofisini asubiri gari??
Serikali haijadhibiti USD,ni pesa yao wenyewe wamerekani inapitia kwenye hali ya mpito kiuchumi na kisiasa.Ukienda Bureau de change hawana Dollar, Bank hawana dollar. Black market wanauza kwa rate ya 2,850 mpaka 3,000. Kama serikali imedhibiti dollar na kuruhusu black market, bhasi niseme nchi yetu ni ya hovyo sana .
KalagabahoHii rate utauzia washamba 😂, kuna mwana hapo juu INSIDER MAN ananiuzia kwa 2,700.
Unabargain nini wewe lipa uletewe gariAcha ushamba, nenda kwenye mabank kinachoendelea. Wanaonunua kupitia bf wanapigwa sana hela, ni mpumbavu pekee anayekubali kutumia BF. Gari huwa naagiza na kubargain mwenyewe kazi yangu kumpa wakala kutoa bandarini, kila kitu nafanya mwenyewe.
Nani kakwambia dollar imeadimika bongo pekee???tembea uone mzikiUkienda Bureau de change hawana Dollar, Bank hawana dollar. Black market wanauza kwa rate ya 2,850 mpaka 3,000. Kama serikali imedhibiti dollar na kuruhusu black market, bhasi niseme nchi yetu ni ya hovyo sana .
Dola kwa sasa inapatikana kwa bei za kurusha !! Ipo kwenye 2900 au 3000Wakuu habari zenu.
Naomba kuuliza kwa wajuzi wa mambo hasa kwenye kufanya malipo kwenda nje ya nchi. Leo nimeshindwa kulipia gari Japan sababu kubwa ni dollar, niliienda NMB wakasema mwisho kuchange ni $100.
Nimeshindwa kuelewa, ina maana hata kama Pesa ipo kwa account yangu inakuwa ngumu kufanya payment? Hata kuexchange pesa juu kwa juu inakuwa shida?
Nilikuwa najua kupata noti ya dollar ndo kipengele, hata kwa Pesa iliyo kwa account kubadili kuwa dollar nayo ni kipengele???.
Nataka kulipia gari Japan, naombeni msaada bank ambayo haina MBAMBAMBA.
China sio lazima ulipe kwa USD unaweza lipa kwa yuanUnaweza ukapata kwa kukusanya kidogo kidogo hizo usd 100 wanazotoa Nmb mpaka ukafikia kiasi unachotaka. Pia nilichojifunza zinatolewa kwa kujuana au connection maana kuna watu wanazipata kwa kuomba kibali maalum.
Kuna umuhimu wa kufungua account ya USD kama wewe ni mfanyabiashara maana tshs inaporomoka kwa kasi kila kukicha
Njoo nikuuzie U.S.DWakuu habari zenu.
Naomba kuuliza kwa wajuzi wa mambo hasa kwenye kufanya malipo kwenda nje ya nchi. Leo nimeshindwa kulipia gari Japan sababu kubwa ni dollar, niliienda NMB wakasema mwisho kuchange ni $100.
Nimeshindwa kuelewa, ina maana hata kama Pesa ipo kwa account yangu inakuwa ngumu kufanya payment? Hata kuexchange pesa juu kwa juu inakuwa shida?
Nilikuwa najua kupata noti ya dollar ndo kipengele, hata kwa Pesa iliyo kwa account kubadili kuwa dollar nayo ni kipengele???.
Nataka kulipia gari Japan, naombeni msaada bank ambayo haina MBAMBAMBA.
Be foward hawana akaunti ya shilingi na sidhani kama watathubutu kuwa nayo1Mbona BE forward wana accept transfer ya Tsh mkuu.
Transfer kupitia visa card mkuuBe foward hawana akaunti ya shilingi na sidhani kama watathubutu kuwa nayo1
Ukiwa na account ya Dollar unapata zaidi ya $100 weweHata kama una USD account bado unapewa hizo 100. Mwanzoni kabisa watu walifungua USD wakawa wanaweka tshs then wanachukua USD wanaenda kuuza black market wka 2700-2900 ila baadaye order from BOT ikaja hata USD account ukitaka kutoa unatoa 100 per day.