INSIDER MAN
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 2,057
- 20,918
Pesa ngumu kuipata ni ile cash ila kwa online ni chap, unahitaji kiasi gani?CRDB kuna mtu nimeongea naye kanambia tuonane asbh, wao mwsho ni $500.
Pesa ngumu kuipata ni ile cash ila kwa online ni chap, unahitaji kiasi gani?CRDB kuna mtu nimeongea naye kanambia tuonane asbh, wao mwsho ni $500.
Jiulize mtu kama niffer anayesafiri kila day na kuleta mizigo ya milions anazipataje. Mjini hapa watu wanafanya biashara ya dollar fresh tuWakuu habari zenu.
Naomba kuuliza kwa wajuzi wa mambo hasa kwenye kufanya malipo kwenda nje ya nchi. Leo nimeshindwa kulipia gari Japan sababu kubwa ni dollar, niliienda NMB wakasema mwisho kuchange ni $100.
Nimeshindwa kuelewa, ina maana hata kama Pesa ipo kwa account yangu inakuwa ngumu kufanya payment? Hata kuexchange pesa juu kwa juu inakuwa shida?
Nilikuwa najua kupata noti ya dollar ndo kipengele, hata kwa Pesa iliyo kwa account kubadili kuwa dollar nayo ni kipengele???.
Nataka kulipia gari Japan, naombeni msaada bank ambayo haina MBAMBAMBA.
Jaribu Equity.Hapana, Bank gani naweza fanikiwa?
Mungu kawapa nguvu na akili bado mnataka awasaidie tena?Tanzania sijui tunakwenda wapi, kila sehemu ni shida. Mungu atusaidie kwakweli
Sijatumia beforwardMbona BE forward wana accept transfer ya Tsh mkuu.
$9600Pesa ngumu kuipata ni ile cash ila kwa online ni chap, unahitaji kiasi gani?
Kuna watu wanazo USD ila watakuuzia bei kubwa inaweza kufika 2900 mpaka 3000, Kama uko Dar nenda ofisi za befoward au SBT kuna namna wanaweza kukusaidia ila kuwa makini sana hela ni ngumu usitembee na cash kubwa mkononi.Wakuu habari zenu.
Naomba kuuliza kwa wajuzi wa mambo hasa kwenye kufanya malipo kwenda nje ya nchi. Leo nimeshindwa kulipia gari Japan sababu kubwa ni dollar, niliienda NMB wakasema mwisho kuchange ni $100.
Nimeshindwa kuelewa, ina maana hata kama Pesa ipo kwa account yangu inakuwa ngumu kufanya payment? Hata kuexchange pesa juu kwa juu inakuwa shida?
Nilikuwa najua kupata noti ya dollar ndo kipengele, hata kwa Pesa iliyo kwa account kubadili kuwa dollar nayo ni kipengele???.
Nataka kulipia gari Japan, naombeni msaada bank ambayo haina MBAMBAMBA.
Ukitaka za magendo unapata ila wengi wanataka tsh 2,800-3,000 kwa $1Jiulize mtu kama niffer anayesafiri kila day na kuleta mizigo ya milions anazipataje. Mjini hapa watu wanafanya biashara ya dollar fresh tu
Ukikwama nicheki,$9600
Jaribu hata Equity mkuu.Hapana, Bank gani naweza fanikiwa?
Ndomana beforward wanauza gari juu sana kumbe hii nayo ni sababu. Sijatumia beforward sababu gari zao za kawaida afu wanauza gharama sana.Jaribu hata Equity mkuu.
Fungua account 2 ya Usd na Tshs, weka pesa kwenye Tshs sawa na pesa unayotaka transfer, halafu waambie wahamishie kwenye USD.
Inaweza kusaidia au jaribu kufika ofisi za beforward.
Ahsante bro.Ukikwama nicheki,
Lakini naamini utapata msaada.Ndomana beforward wanauza gari juu sana kumbe hii nayo ni sababu. Sijatumia beforward sababu gari zao za kawaida afu wanauza gharama sana.
Beforward siwezi pata msaada sababu sijatumia kampuni yao kununua gari. Anyway, nishapata alternative kama 5 kesho nitatoa mrejesho.Lakini naamini utapata msaada.
Hii kuna mtu kanambia kufungua account inacost kias gani?Kwenye mabenki ya kimataifa.
Fungua akaunti ya dola kwenye benki za kimatifa wala upati shida.
Achana na lhaya nakanjanja kwenye mabenki zetu, wahuni sana
Hata bank unapata ukiongea vizuri na senior officers lakini unapewa kwa rate ya juu sio hizi unazoonyeshwa rasmi.Huko ni gharama sana mkuu,
Kama ngapi wana kucharge?, sema hizi ni biashara za watu.Hata bank unapata ukiongea vizuri na senior officers lakini unapewa kwa rate ya juu sio hizi unazoonyeshwa rasmi.