Mnaoagiza magari nje mnapata wapi dola?

Mnaoagiza magari nje mnapata wapi dola?

Ukiwa na account ya Dollar unapata zaidi ya $100 wewe
Labda kama utaratibu umebadilika mkuu. Nakwambia kitu ambacho tulikuwa tunafanya mwanzo na kisha kuwithdraw na kwenda kuziuza mtaani. Mimi ninakuja sanuliwa it only worked for 2 weeks ndipo likatoka hilo tamko. So nikaachana na hiyo biashara.
 
Kwenye mabenki ya kimataifa.

Fungua akaunti ya dola kwenye benki za kimataifa wala upati shida.

Achana na lhaya nakanjanja kwenye mabenki zetu, wahuni sana
Unaweza kutoa mfano wa hizo benki za kimataifa ni kama zipi?
 
Hata kama una USD account bado unapewa hizo 100. Mwanzoni kabisa watu walifungua USD wakawa wanaweka tshs then wanachukua USD wanaenda kuuza black market wka 2700-2900 ila baadaye order from BOT ikaja hata USD account ukitaka kutoa unatoa 100 per day.
Sio kweli, sisi kwenye miradi yetu tunatoa hadi USD 8,000 kwa siku.
 
Back
Top Bottom