MmasaiHalisi
Senior Member
- Jan 15, 2009
- 192
- 23
Wana JF nafikiri wengi mnakumbuka kasha ya mchele mbovu iliyotokea miaka ya tisini.
Nasikia ndiyo iliyosababisha kifo cha mkemia mkuu wa wakati huo, nasikia kampuni iliyo husika na kashfa hiyo bado inapeta na si ajabu bado inaendelea kuagiza mchele mbovu.
Je, tutafika?
Nasikia ndiyo iliyosababisha kifo cha mkemia mkuu wa wakati huo, nasikia kampuni iliyo husika na kashfa hiyo bado inapeta na si ajabu bado inaendelea kuagiza mchele mbovu.
Je, tutafika?