technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,842
- 52,947
umasikini wenu ndio unawafanya mlishwe vitu vya ajabu
pia upumbavu wenu wa kupenda vitu kutoka nje na kuona ndio vizuri kuliko vya apa
hivi nile mchele kutoka nje kwa lipi kwanza, wakati mchele unalimwa MBEYA,MOROGORO,SHINYANGA NA MWANZA tena bei poa kabisa
uzembe
pia upumbavu wenu wa kupenda vitu kutoka nje na kuona ndio vizuri kuliko vya apa
hivi nile mchele kutoka nje kwa lipi kwanza, wakati mchele unalimwa MBEYA,MOROGORO,SHINYANGA NA MWANZA tena bei poa kabisa
uzembe