Huku ni kurogwa au ni zaidi ya uaminifu

george aloyce

JF-Expert Member
Aug 22, 2017
1,187
1,834
Habarini wana jamvi , mko poa?

Bila kuchelewesha mada , ni hivi waaminifu na waadilifu bado wapo Duniani

Kuna rafiki yg mmoja hua nafanya nae biashara, yeye ameajiriwa na kukabidhiwa duka kubwa mno la vyakula na vitu mbalimbali.

Sasa jamaa huyu nimeshangaa aina ya maisha anayoishi, siku ya kwanza kufahamiana nae niliipeleka bidhaa zg hapo dukani, nikampita nikamfata Mzee mmoja ana asili ya Asia ye ndio alikua amekaa dukani ndani, nikamuelezea kuhusu biashara ninayouza pale.

Akaniambia nionane na yule niliempita mlangoni ndie Kila kitu
Kurudi kuongea na yule jamaa ndio akauelewa ule mzigo niliiopeleka, tukapima akanilipa keshi nikasepa

Ikawa ndio biashara hio ,Kila nikienda nauza jumla nasepa.

Ila Hadi nionane na huyo dogo aliepauka ndio niuze

Hakuna mwingine wa kunipa pesa Hadi huyo

Basi yule dogo ndio tukaanza zoeana kuja muuliza vizuri kumbe ni mkoa mmoja tunatoka.

Fikiria mtu kutoka bala akaaminika na watu wa Asia.

Ndio jamaa yg akaniambia wale jamaa wanamuamini sana ye ndo mtengeneza faida kwa Kila bidhaaa itakuja pale lazima waonane nae

Kwa kile alichoniambia na history yake ya maisha , Cha kwanza kapangiwa chumba kimoja na yule bosi , pia Hana mke wala mtoto japo ana miaka zaidi ya 35.

Pia yule jamaa yg ni zaidi ya muaminifu sijui amerogwa, biashara anaachiwa zaidi ya mezi miwili bosi hajafika ila ye ana peleka faida na kukaza duka Kila siku.

Kwa mfano anakua ananunua vitu mbalimbali kumkuta na milioni 60 Hadi 100 ni kawaida za pale shop

Kwa maana Ile ni duka la jumla na rejareja kuanzia nafaka Hadi product

Hua kuagiza mafuta Hadi dumu 200 au ngano 300 au mimi hua nampelekea mazao dengu au maharage au mchele , kw mfano dengu jumla kilo ni 3000 ye anaweza nilipa hata kilo 600 kwa pamoja kwa pesa keshi

Ila Cha ajabu jamaa kapauka anatembelra yebo pia muda hua akalipia ngano za bakharesa 200 keshi , mafuta dumh 200

Cha ajabu utamkuta kwa mama ntilie anakula chai na maandazi 5.

Kwa mfano juzi nimemkuta anaumwa tumbo tu kununua frajiri za jero analeta ubahili, ananiambia kwamba ni ngumu kutumia pesa za bosi Hadi arudi kwake ndio achukue pesa ili akanunue

Ikabidi mi nimnunulie frajiri na maji akanywa dawa ndio akakaa vizur

Sifa nyingine jamaa mtu wa swala 5 , anajari sana

Je swali langu ni hivi jamaa yg hajui utamu wa pesa , je ni muaminifu ? Au karogwa na bosi ,au ndio alivozaliwa na kipaji Cha uaminifu , haiwezekani umiliki pesa za bosi milioni zaidi ya 100 ushindwe kununua frajiri za jero.

Najua wengi msiotembea na kufunguka kichwani hua mna ongea ni Chai basi kama ni chai kunywa na maandazi 5 kama jamaa yg huku akimiliki zaidi ya milioni 100 za kununulia mizigo mbalimbali inayoingia kwenye biashara za dukani kwa bosi wke ni hayo tu admin naomba usifute Uzi wg kwa sababu uandishi wg mbovu ila una mengi watu wajifunze
 
HAWA WAHINDINNA WAARABU SIO
KUNA SEHEMU NLIENDAGA KUNA JAMAA KAZI YAKE KUPELEKA PESA BENKI ZAIDI HATA M 30 HALAFU HAIBI HATA MIA ANAVAA RAFU RAFU MABWANGA HAYO
KUNA SIKU KAENDA BENKI KUKATOKEA NA TUKIO LA UJAMBAZI PALE PALE BENKI WATU WALIIBIA JAMAA HAKUIBIWA AJABU KAZIRUDISHA ZILE PESA KAMA ZILIVO KWA BOSS WAKE HAJACHUKUA HATA MIA
 
HAWA WAHINDINNA WAARABU SIO
KUNA SEHEMU NLIENDAGA KUNA JAMAA KAZI YAKE KUPELEKA PESA BENKI ZAIDI HATA M 30 HALAFU HAIBI HATA MIA ANAVAA RAFU RAFU MABWANGA HAYO
KUNA SIKU KAENDA BENKI KUKATOKEA NA TUKIO LA UJAMBAZI PALE PALE BENKI WATU WALIIBIA JAMAA HAKUIBIWA AJABU KAZIRUDISHA ZILE PESA KAMA ZILIVO KWA BOSS WAKE HAJACHUKUA HATA MIA
Duuuu
 
Wahindi hasa wenye maduka wana mchezo wakuangalia nyota ya mtu kabla kumuajiri. Kama una nyota kali ya biashara kwa mujibu wao wanakupumbaza akili unakuwa kama goigoi na hutakuja kukaa ukaacha kazi.

Maduka mengi ya wahindi utakuta kina Mzee Juma wamechoka na ukiuliza utaambiwa amefanya kazi hapo toka na babu wa mwenye duka mpaka mjukuu.

Wakishakupumbaza akili huwezi hata kuwaza kuchukua sh tano na unakuwa na uchungu na mali ya muhindi kama vile ya kwako, akija mfanyakazi mpya tu ambae ana tabia hazieleweki utakuta fasta boss keshapata ripoti.

Kuna wengine wanaongea mpaka kihindi ila wanaishia kufa kifukara kabisa.
 
Habarini wana jamvi , mko poa?

Bila kuchelewesha mada , ni hivi waaminifu na waadilifu bado wapo Duniani

Kuna rafiki yg mmoja hua nafanya nae biashara, yeye ameajiriwa na kukabidhiwa duka kubwa mno la vyakula na vitu mbalimbali.

Sasa jamaa huyu nimeshangaa aina ya maisha anayoishi, siku ya kwanza kufahamiana nae niliipeleka bidhaa zg hapo dukani, nikampita nikamfata Mzee mmoja ana asili ya Asia ye ndio alikua amekaa dukani ndani, nikamuelezea kuhusu biashara ninayouza pale.

Akaniambia nionane na yule niliempita mlangoni ndie Kila kitu
Kurudi kuongea na yule jamaa ndio akauelewa ule mzigo niliiopeleka, tukapima akanilipa keshi nikasepa

Ikawa ndio biashara hio ,Kila nikienda nauza jumla nasepa.

Ila Hadi nionane na huyo dogo aliepauka ndio niuze

Hakuna mwingine wa kunipa pesa Hadi huyo

Basi yule dogo ndio tukaanza zoeana kuja muuliza vizuri kumbe ni mkoa mmoja tunatoka.

Fikiria mtu kutoka bala akaaminika na watu wa Asia.

Ndio jamaa yg akaniambia wale jamaa wanamuamini sana ye ndo mtengeneza faida kwa Kila bidhaaa itakuja pale lazima waonane nae

Kwa kile alichoniambia na history yake ya maisha , Cha kwanza kapangiwa chumba kimoja na yule bosi , pia Hana mke wala mtoto japo ana miaka zaidi ya 35.

Pia yule jamaa yg ni zaidi ya muaminifu sijui amerogwa, biashara anaachiwa zaidi ya mezi miwili bosi hajafika ila ye ana peleka faida na kukaza duka Kila siku.

Kwa mfano anakua ananunua vitu mbalimbali kumkuta na milioni 60 Hadi 100 ni kawaida za pale shop

Kwa maana Ile ni duka la jumla na rejareja kuanzia nafaka Hadi product

Hua kuagiza mafuta Hadi dumu 200 au ngano 300 au mimi hua nampelekea mazao dengu au maharage au mchele , kw mfano dengu jumla kilo ni 3000 ye anaweza nilipa hata kilo 600 kwa pamoja kwa pesa keshi

Ila Cha ajabu jamaa kapauka anatembelra yebo pia muda hua akalipia ngano za bakharesa 200 keshi , mafuta dumh 200

Cha ajabu utamkuta kwa mama ntilie anakula chai na maandazi 5.

Kwa mfano juzi nimemkuta anaumwa tumbo tu kununua frajiri za jero analeta ubahili, ananiambia kwamba ni ngumu kutumia pesa za bosi Hadi arudi kwake ndio achukue pesa ili akanunue

Ikabidi mi nimnunulie frajiri na maji akanywa dawa ndio akakaa vizur

Sifa nyingine jamaa mtu wa swala 5 , anajari sana

Je swali langu ni hivi jamaa yg hajui utamu wa pesa , je ni muaminifu ? Au karogwa na bosi ,au ndio alivozaliwa na kipaji Cha uaminifu , haiwezekani umiliki pesa za bosi milioni zaidi ya 100 ushindwe kununua frajiri za jero.

Najua wengi msiotembea na kufunguka kichwani hua mna ongea ni Chai basi kama ni chai kunywa na maandazi 5 kama jamaa yg huku akimiliki zaidi ya milioni 100 za kununulia mizigo mbalimbali inayoingia kwenye biashara za dukani kwa bosi wke ni hayo tu admin naomba usifute Uzi wg kwa sababu uandishi wg mbovu ila una mengi watu wajifunze
Huyo anafaa tumuajiri pale DP World.
 
Ni uaminifu tu ukiamua kuishi hvyo na inawezekana

Miaka fulani ya NYUMA niliwahi kufanya kazi kwenye DUKA LA MUHINDI kama TECHNICIAN lilikuwa duka la ELECTRONICS
Actually nilikuwa mtu wa madeal sana sema nilikuwa napiga kwa umakini
Siku moja deal ilienda Vibaya ikaonekana Vitu fulani vimepungua
Muhindi akaniita akaniambia kuna VITU vimepotea je
Umechukua ?(kuiba)
Nikasema hapana mm sijachukua
Akaniambia MM ninakuamini lkn UAMINIFU wangu kwako umepotea kwa tukio hili
lakini sina USHAHIDI wa kuthibitisha kuwa umechukua ila kwa kuwa wewe ni Muislam na mimi ni Muislam ninaomba uapie katika QURAN TUKUFU ili moyo wangu uwe na amani na niendelee kukuamini 7bu BIASHARA yangu inahitaji kuhaminiana

Kwakweli niliogopa KUAPA KWA MSAHAFU nikanyamaza kwa MUDA kisha nikamjibu
Ni kweli NILIIBA NDIYO
kabla hata SIJAOMBA msamaha akaniambia haya sawa nimekusamehe nenda ukaendelee na KAZI
Kwakweli tangu hapo niliacha hiyo TABIA na nikawa Muaminifu mpk nilipoacha kazi hapo kuendelea na ISHU zangu nyingine

So UAMINIFU upo ukiamua
Na waislam wengi tunapenda kuishi kwa UAMINIFU
 
Chief uaminifu ni tabia ya mtu binafsi haihusiani chochote na dini.

Humu mitaani kila siku tunaona masheikh wanavyopiga pesa za misikiti na hao ndio hasa wanapaswa kuwa mfano wa uislam.
Inawezekana
ila ukisoma STORY yangu utagundua MSAHAFU ulinirudisha kwenye IMANI na HOFU ya MUNGU ikanifanya niwe MUANIFU kipindi chopte nilipokuwa katika DUKA lake
Nisingekuwa Nimesoma Dini basi ningeona kawaida tu KUAPIa katika MSAHAFU kuwa sijaiba na maisha yangeendelea kama umefanikiwa kutembea sana DUNIANI utasadiki MANENO yangu
 
Habarini wana jamvi , mko poa?

Bila kuchelewesha mada , ni hivi waaminifu na waadilifu bado wapo Duniani

Kuna rafiki yg mmoja hua nafanya nae biashara, yeye ameajiriwa na kukabidhiwa duka kubwa mno la vyakula na vitu mbalimbali.

Sasa jamaa huyu nimeshangaa aina ya maisha anayoishi, siku ya kwanza kufahamiana nae niliipeleka bidhaa zg hapo dukani, nikampita nikamfata Mzee mmoja ana asili ya Asia ye ndio alikua amekaa dukani ndani, nikamuelezea kuhusu biashara ninayouza pale.

Akaniambia nionane na yule niliempita mlangoni ndie Kila kitu
Kurudi kuongea na yule jamaa ndio akauelewa ule mzigo niliiopeleka, tukapima akanilipa keshi nikasepa

Ikawa ndio biashara hio ,Kila nikienda nauza jumla nasepa.

Ila Hadi nionane na huyo dogo aliepauka ndio niuze

Hakuna mwingine wa kunipa pesa Hadi huyo

Basi yule dogo ndio tukaanza zoeana kuja muuliza vizuri kumbe ni mkoa mmoja tunatoka.

Fikiria mtu kutoka bala akaaminika na watu wa Asia.

Ndio jamaa yg akaniambia wale jamaa wanamuamini sana ye ndo mtengeneza faida kwa Kila bidhaaa itakuja pale lazima waonane nae

Kwa kile alichoniambia na history yake ya maisha , Cha kwanza kapangiwa chumba kimoja na yule bosi , pia Hana mke wala mtoto japo ana miaka zaidi ya 35.

Pia yule jamaa yg ni zaidi ya muaminifu sijui amerogwa, biashara anaachiwa zaidi ya mezi miwili bosi hajafika ila ye ana peleka faida na kukaza duka Kila siku.

Kwa mfano anakua ananunua vitu mbalimbali kumkuta na milioni 60 Hadi 100 ni kawaida za pale shop

Kwa maana Ile ni duka la jumla na rejareja kuanzia nafaka Hadi product

Hua kuagiza mafuta Hadi dumu 200 au ngano 300 au mimi hua nampelekea mazao dengu au maharage au mchele , kw mfano dengu jumla kilo ni 3000 ye anaweza nilipa hata kilo 600 kwa pamoja kwa pesa keshi

Ila Cha ajabu jamaa kapauka anatembelra yebo pia muda hua akalipia ngano za bakharesa 200 keshi , mafuta dumh 200

Cha ajabu utamkuta kwa mama ntilie anakula chai na maandazi 5.

Kwa mfano juzi nimemkuta anaumwa tumbo tu kununua frajiri za jero analeta ubahili, ananiambia kwamba ni ngumu kutumia pesa za bosi Hadi arudi kwake ndio achukue pesa ili akanunue

Ikabidi mi nimnunulie frajiri na maji akanywa dawa ndio akakaa vizur

Sifa nyingine jamaa mtu wa swala 5 , anajari sana

Je swali langu ni hivi jamaa yg hajui utamu wa pesa , je ni muaminifu ? Au karogwa na bosi ,au ndio alivozaliwa na kipaji Cha uaminifu , haiwezekani umiliki pesa za bosi milioni zaidi ya 100 ushindwe kununua frajiri za jero.

Najua wengi msiotembea na kufunguka kichwani hua mna ongea ni Chai basi kama ni chai kunywa na maandazi 5 kama jamaa yg huku akimiliki zaidi ya milioni 100 za kununulia mizigo mbalimbali inayoingia kwenye biashara za dukani kwa bosi wke ni hayo tu admin naomba usifute Uzi wg kwa sababu uandishi wg mbovu ila una mengi watu wajifunze
Fuatilia kwanini mhindi hawez kuajiri mchagga halafu jiulize y
 
Ulitaka aibe mkuu hebu tueleze vizuri. Ungekua wewe ungekimbia na mil 60 si ndio

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Ukinipa million 100 nachimba nazo. Nipo kwenye nyakati za kufosi mipango sahizi. Sina muda wa kupoteza halafu kingine Gabacholi sina ufagio nao kabisa. Utakuta wanakulipa 150K wewe unamtengenezea millions of money ila hakupi chance ya kuboresha maisha yako.

Bora hata mchina anaweza akakuruhusu uwe unaweka genji yako akikukabidhi duka. As long as kakupa bei ukiuza juu hana neno ila sio muhindi kmmmk.
 
Habarini wana jamvi , mko poa?

Bila kuchelewesha mada , ni hivi waaminifu na waadilifu bado wapo Duniani

Kuna rafiki yg mmoja hua nafanya nae biashara, yeye ameajiriwa na kukabidhiwa duka kubwa mno la vyakula na vitu mbalimbali.

Sasa jamaa huyu nimeshangaa aina ya maisha anayoishi, siku ya kwanza kufahamiana nae niliipeleka bidhaa zg hapo dukani, nikampita nikamfata Mzee mmoja ana asili ya Asia ye ndio alikua amekaa dukani ndani, nikamuelezea kuhusu biashara ninayouza pale.

Akaniambia nionane na yule niliempita mlangoni ndie Kila kitu
Kurudi kuongea na yule jamaa ndio akauelewa ule mzigo niliiopeleka, tukapima akanilipa keshi nikasepa

Ikawa ndio biashara hio ,Kila nikienda nauza jumla nasepa.

Ila Hadi nionane na huyo dogo aliepauka ndio niuze

Hakuna mwingine wa kunipa pesa Hadi huyo

Basi yule dogo ndio tukaanza zoeana kuja muuliza vizuri kumbe ni mkoa mmoja tunatoka.

Fikiria mtu kutoka bala akaaminika na watu wa Asia.

Ndio jamaa yg akaniambia wale jamaa wanamuamini sana ye ndo mtengeneza faida kwa Kila bidhaaa itakuja pale lazima waonane nae

Kwa kile alichoniambia na history yake ya maisha , Cha kwanza kapangiwa chumba kimoja na yule bosi , pia Hana mke wala mtoto japo ana miaka zaidi ya 35.

Pia yule jamaa yg ni zaidi ya muaminifu sijui amerogwa, biashara anaachiwa zaidi ya mezi miwili bosi hajafika ila ye ana peleka faida na kukaza duka Kila siku.

Kwa mfano anakua ananunua vitu mbalimbali kumkuta na milioni 60 Hadi 100 ni kawaida za pale shop

Kwa maana Ile ni duka la jumla na rejareja kuanzia nafaka Hadi product

Hua kuagiza mafuta Hadi dumu 200 au ngano 300 au mimi hua nampelekea mazao dengu au maharage au mchele , kw mfano dengu jumla kilo ni 3000 ye anaweza nilipa hata kilo 600 kwa pamoja kwa pesa keshi

Ila Cha ajabu jamaa kapauka anatembelra yebo pia muda hua akalipia ngano za bakharesa 200 keshi , mafuta dumh 200

Cha ajabu utamkuta kwa mama ntilie anakula chai na maandazi 5.

Kwa mfano juzi nimemkuta anaumwa tumbo tu kununua frajiri za jero analeta ubahili, ananiambia kwamba ni ngumu kutumia pesa za bosi Hadi arudi kwake ndio achukue pesa ili akanunue

Ikabidi mi nimnunulie frajiri na maji akanywa dawa ndio akakaa vizur

Sifa nyingine jamaa mtu wa swala 5 , anajari sana

Je swali langu ni hivi jamaa yg hajui utamu wa pesa , je ni muaminifu ? Au karogwa na bosi ,au ndio alivozaliwa na kipaji Cha uaminifu , haiwezekani umiliki pesa za bosi milioni zaidi ya 100 ushindwe kununua frajiri za jero.

Najua wengi msiotembea na kufunguka kichwani hua mna ongea ni Chai basi kama ni chai kunywa na maandazi 5 kama jamaa yg huku akimiliki zaidi ya milioni 100 za kununulia mizigo mbalimbali inayoingia kwenye biashara za dukani kwa bosi wke ni hayo tu admin naomba usifute Uzi wg kwa sababu uandishi wg mbovu ila una mengi watu wajifunze
Hongera sana kwa hadithi nzuri ya kufikirika . Kwanza unaonekana wewe ni mbaguzi, una dharau na roho mbaya sana .

Ilikuwaje umpite jamaa mlangoni pasipo hata kumsalimia kisa mavazi na muonekano wake wa mpauko kama unavyodai,.

Mafanikio ni mchakato, kama ni wakati wako kufanikiwa utafanikiwa haijalishi uko wapi kwa wakati huo as long unafanya smart moves, smart decisions na hard working, wakati utaamua..

Kama sio wakati wako hata ukiiba 1B itapotea within short period of time.

Kuhusu kununua dawa ndo pointi uliyoichomekea kuprove ujinga wa jamaa,
Kama ndivyo ilivyokuwa basi haipaswi kuhusiana na kuwa mwaminifu au kutokuwa mwaminifu kwa jamaa, kuna watu kama mimi hatuamini sana kwenye vidonge na sindano, tunajua kwa kutumia mimea asili na chakula unaweza kujitibia almost hzo shda zote ndogondogo za kiafya..

Kikubwa kuliko yote punguza umbea , acha watu waishi maisha yao waliyochagua

Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom