kiss ov love
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 9,363
- 16,095
- Thread starter
- #21
Kikuchekeshacho?🤓😂😂😂🤣
Kikuchekeshacho?🤓😂😂😂🤣
Barikiwa mtumishi 😍Natamani nikae nyumbani mwako Bwana.
Mahali hapa!
Ni pazuriiiii kama Nini!
Uwepo wako, umenifunikaaa!
KwakweliSifikiri hata 25 umefika binti, ila stories zako za kutafunwa ni nyingi kama za mzee wa mwaka 47 ,ndio maana naona kama unatunyweshwa chai bora😄😄
Hii ya leo ni ukweli jiraniChai ya leo tamu balaa
Alikuwa mume wako?😎Wala siyo chai nawakumbusha vijana waache uzinzi
haha kwanini unaletewa kitimoto hutaki kutoa kitumotoHii ya leo ni ukweli jirani
Wewe utakuwa ni mganga siyo bure mkuu, kunywa soda hapo kwa mangiSifikiri hata 25 umefika binti, ila stories zako za kutafunwa ni nyingi kama za mzee wa mwaka 47 ,ndio maana naona kama unatunyweshwa chai bora😄😄
FurahaKikuchekeshacho?
Acha madharau dogo yani ninywe soda iniletee nyuki? Nakunywa bia uje kulipa chapWewe utakuwa ni mganga siyo bure mkuu, kunywa soda hapo kwa mangi
Au akuagize ukamchukulie kiti moto😂Acha madharau dogo yani ninywe soda iniletee nyuki? Nakunywa bia uje kulipa chap
Una miaka 25 ila ushatembea miles nyingi sana mpaka wazee wa miaka 50 washakulalia kwa juuKuna mtu humu aliwahi kuandika uzi kuhusu kumalizia upako kama alivyoita mwenyewe.
Alisema alikuwa anafanya kazi nyumba za kulala wageni kwahiyo wateja wanaokuja na wenzi wao wakimaliza mambo yao mwanamke akibaki ndiyo wanaenda kumalizia sasa huo upako.
Kuna siku moja zamani sana nilikuwa na mwanaume wangu tukawa tumeenda lodge sasa kwa huku mbele kama kuna Bar wanapika kitimoto nikawa nimemuagiza huyo kaka kitimoto nilichukua na namba yake ili iwe rahisi kumuagiza.
Sasa ile kitimoto ilichelewa nakumbuka nikawa nampigia namkumbusha atuletee maan nilikuwa nina ubao, sasa ikatokea yule mtu wangu akawa na haraka akaondoka, mimi nikabaki nikala nikawa navuta muda kidogo niondoke.
Yule kijana si akanipigia coz alimuona yule mtu alivyoondoka eti anataka aje nimpe, kuna watu ni wa ajabu sana jamani unapata ujasiri wapi kula alipokula mwenzio muda mchache tu uliyopita, hizi tamaa za ngono zitawaua vijana mnaofanya kazi nyumba za kulala wageni msipoweza kujicontrol.
Hiyo kiti moto yake imedokolewa na wengi mimi siitaki 😁😁 yeye alete safari lager ya baridi kibigwa 😄Au akuagize ukamchukulie kiti moto😂
Malizia stori sasa, si ulimpa maana wewe ulitaka mlale ila jamaa alikuwa na haraka posibly hakutimiza haja zakoKuna mtu humu aliwahi kuandika uzi kuhusu kumalizia upako kama alivyoita mwenyewe.
Alisema alikuwa anafanya kazi nyumba za kulala wageni kwahiyo wateja wanaokuja na wenzi wao wakimaliza mambo yao mwanamke akibaki ndiyo wanaenda kumalizia sasa huo upako.
Kuna siku moja zamani sana nilikuwa na mwanaume wangu tukawa tumeenda lodge sasa kwa huku mbele kama kuna Bar wanapika kitimoto nikawa nimemuagiza huyo kaka kitimoto nilichukua na namba yake ili iwe rahisi kumuagiza.
Sasa ile kitimoto ilichelewa nakumbuka nikawa nampigia namkumbusha atuletee maan nilikuwa nina ubao, sasa ikatokea yule mtu wangu akawa na haraka akaondoka, mimi nikabaki nikala nikawa navuta muda kidogo niondoke.
Yule kijana si akanipigia coz alimuona yule mtu alivyoondoka eti anataka aje nimpe, kuna watu ni wa ajabu sana jamani unapata ujasiri wapi kula alipokula mwenzio muda mchache tu uliyopita, hizi tamaa za ngono zitawaua vijana mnaofanya kazi nyumba za kulala wageni msipoweza kujicontrol.
Hakika mkuu, bora ze lager utaburudika na kufeel🤣🤣Hiyo kiti moto yake imedokolewa na wengi mimi siitaki 😁😁 yeye alete safari lager ya baridi kibigwa 😄