- Thread starter
- #21
huna kumbukumbuRe: Mnafiki SITTA jana ITV
By Mama Mdogo
Rose1980, hapa mimi bado niko bado natafakari kuhusu mwelekeo na misimamo ya BAADHI ya wana JF wenzetu waliojiunga kuanzia July 2010 wakati tukielekea uchaguzi mkuu. Naona kuna wengine walijiunga ili kutekeleza interest binafsi, maana kada la hawa watu ni bifu, majungu, uongo, uzandiki, hadithi za kufikirika nk. tu kwa kwenda mbele. Tafakari, chukua maamuzi!!
Mama mdogo hapo juu uliyoyasema ni ukweli mtupu!!
Inaelekea kuna watu wameingia JF kwa nia zao mbaya ila hawawezi badilisha kitu kwani watanzania wa leo wanaona ukweli, wanaujua ukweli na wanaweza kuchambua mambo na kufanya maamuzi yenye manufaa!!
Kwa hiyo kama wanajidanganya wanaweza kubadilisha hayo wanajichosha tu heri wamwache Sitta aseme kuisadia serikali isiyoweza kukemea uovu!
umesahau namna SITTA alivyobehave aliposhika nafasi ya kiongozi wa serikali bungeni??? aliishia kutukana wapinzani wanafki huku akibariki POSHO
Hivi wakuliwa wanapata wapi POSHO???????????? wewe unadanyanyika kirahisi kama toto bonge.