MMU thread ya kufungia mwaka

Afu wewe mdada nakutafuta, hakikisha tunaonana kabla ya x'mass nkukabidhi lile gauni lako, fundi keshamaliza kushona...amekuwekea kola nyeupe na mikanda...

mpenzi nimekumiss. Nipo busy na shemeji yako uporoto tunafanya tendo la uumbaji. Namwona bishanga anapakaza fitina. Gauni langu nitumie usije ukalivaa.
 
Mhhh,

Nadhani mie nitakuja baada ya 2012, may be na thread ya kuanzia mwaka mpya....

"Je, tunaweza kumaliza 2012 bila infii?????..........!!

Natamani 2012 uwe mwaka wa novena ili tujiandae na mapinduzi makubwa yanayotukabili huko mbele....Ngono ni hatari na anti-revolutionary!!
 
mpenzi nimekumiss. Nipo busy na shemeji yako uporoto tunafanya tendo la uumbaji. Namwona bishanga anapakaza fitina. Gauni langu nitumie usije ukalivaa.
maskini TF yuko bize barabarani pale kawe anauza mahindi ya kuchoma na kasimu kake ka mchina kameisha betri,akikawasha nitamshtua aje asome matamshi yako haya kisha tuone itakuwaje.
 
hujambo Asha,za siku?
Mmmmmmmhhhhh hapo tutaingia mkenge wengi.
msalimie Kaizer,mwambie ile nakala ya 'jf udaku gazeti' aitunze vizuri.

hahahaha.... Ile nakala yake alichoma moto! Anasema Udaku wa mle ndani ukizidi tunzwa isije kua kweli! lol Kaizer mzima wa afya.... Anakusalimu pia.

Alafu B' mie mzima (nimefuata ushauri wako wa kuachia accelerator)

Hebu uwahishe, kuna mtu humu nataka anitongoze lakini anajidai haoni
Nataka nimfanyie feasibility study ya kufa mtu
Utakuwa umeokoa jahazi sana


Kongosho nikikupa hizo na hio aggressive nature of yours ndani ya miezi mitatu uchumba, ndoa, mimba....hahahahah!
 
Mhhh,

Nadhani mie nitakuja baada ya 2012, may be na thread ya kuanzia mwaka mpya....

"Je, tunaweza kumaliza 2012 bila infii?????..........!!

Natamani 2012 uwe mwaka wa novena ili tujiandae na mapinduzi makubwa yanayotukabili huko mbele....Ngono ni hatari na anti-revolutionary!!

Mkuu wanamapinduzi wengi damu zao huwa zinachemka,si unaona Fidel Castro hadi na kuoa ilishindikana shauri ya mwili wake kuchemka sana.
anyway tuombee sisi wenye zambi.
 
Awali ya yote niwashukuru kwa michango yenu na kuwatakia kipindi chema cha kumalizia mwaka.
Ombi kwa wadau wa mmu:
Hebu jikunjeni hapa mmwage uzi mzito wa kufungia mwaka yaani uwe pasua kichwa mpaka wachangiaji vichwa vichemke.
Mimi naandaa wa kwangu,title:
'Ukitaka kutongoza mke wa mtu tumia mbinu hizi'.

Utakufa Bishanga,acha wake za watu.
 
Halafu wewe kwa wake za watu...hivi una majibu ya kutosha siku ya mwisho?? lakini we bishanga ngoja nikupe dili...mi mada yangu ni Heri ya X-Mass...itakuwa bonge la sredi nitalirusha 2 days b4 25 dec we ngoja tu naiandaa hapa...ngoja nkutakie heri na baraka za X-mass kwanza
merry-christmas-card-dsc09897-wp.jpg
 
hahahaha.... Ile nakala yake alichoma moto! Anasema Udaku wa mle ndani ukizidi tunzwa isije kua kweli! lol Kaizer mzima wa afya.... Anakusalimu pia.

Alafu B' mie mzima (nimefuata ushauri wako wa kuachia accelerator)




Kongosho nikikupa hizo na hio aggressive nature of yours ndani ya miezi mitatu uchumba, ndoa, mimba....hahahahah!
alokwambia Kongosho mwanamke nani?
Kama umepunguza presha kwenye accelator that is great,you will definately feel the difference.
 
Eliza wa tegeta nshampiga chini,mshari mno bana.
Vekesheni? Tena kweli, mwaka mpya unataka kwenda wapi Perth? Sanya island? Monte carlo principe de monaco? Rio? (kuna bonge la beach),Pataya? (huko ni ma party tu,Tenerife? (beautiful island),Antigua? Cyprus (kuzuri sana na kisha cheap),au unataka kutembelea majiji makubwa kama London,NY,Paris ,Berlin?
Nambie dear nifanye booking,mi ndo Bishanga bana!
Lol, wewe kweli ndie Bishanga wengine wote photocopy... Umenitajia mahali pengi mpaka network imekata....duuu.


Mie nadhani tukaumalizie mwaka 2011 Paris...
 
Nasikitika si polepole! Kinisikitishacho nilikua naishi jirani na Mch. Mtikila then nikahama, kwani angenisaidia mbinu za kumpeleka mtu mahakamani kwa allegation ya "dhana tu" (yaani ukimhisi tu mtu kakuibia na huna ushahidi unafanyajefanyaje hiyo ingenisaidia nikam'buruza Bishanga mahakamani kwani nahisi kaniibia ider yangu ya huo uzi anaotaraji kuushusha, basi potelea mbali mi nita'flow na title : "ukimtaka kumtongoza mume wa mtu tumia mbinu hizi....."
 
Mkuu wanamapinduzi wengi damu zao huwa zinachemka,si unaona Fidel Castro hadi na kuoa ilishindikana shauri ya mwili wake kuchemka sana.
anyway tuombee sisi wenye zambi.

Mkuu,

Tunataka sasa tuwe na wanamapinduzi wa karne hii ya dot com..ili tupunguze hata vyeo na zile shahada za kupitia makao makuu!!

Halafu wewe.....hiyo kitu haiwezi kuwa na addiction kiasi kwamba kuna watu wamekuwa mateja....Tunaweza kujaribu kuprove kama hilo ni kweli au la 2012!!
 
Halafu wewe kwa wake za watu...hivi una majibu ya kutosha siku ya mwisho?? lakini we bishanga ngoja nikupe dili...mi mada yangu ni Heri ya X-Mass...itakuwa bonge la sredi nitalirusha 2 days b4 25 dec we ngoja tu naiandaa hapa...ngoja nkutakie heri na baraka za X-mass kwanza
merry-christmas-card-dsc09897-wp.jpg
Sizinga hili la ahera nshalisemea siku nyingi,it is between me and my Maker,nobody else can judge me,na hii principle applies kwa kila mtu.
Turudi kwenye mada,nami nakutakia a happy festive season.
 
halafu ukizingatia TF ndo wale wale wanaume ka madem hadi condom wanunuliwe,yani mi Husn namshangaa kabisa sijui anampendea nini huyu mkware.
Ha ha ha! Unajua ndio mana niliamua kumpiga chini TF nkajihamishia kwa klorokwini...



We uliona wapi mwanaume kila siku yuko na swaga za 'baby plz recharge me'.!! Ndio tabia za TF hizo, anaomba vocha huyo we acha tu Bishanga. Husn kaula wa chuya tena mchana kweupe..
 
Lol, wewe kweli ndie Bishanga wengine wote photocopy... Umenitajia mahali pengi mpaka network imekata....duuu.


Mie nadhani tukaumalizie mwaka 2011 Paris...
poa, chagua airline KQ?Emirates? Qatar?Air Oman?Air Zimbabwe? SA?(tupitie j'burg tukale kuku kidogo),Air Malawi via Lilongwe?Egyptair?
Sema tu!!!!!
 
mpenzi nimekumiss. Nipo busy na shemeji yako uporoto tunafanya tendo la uumbaji. Namwona bishanga anapakaza fitina. Gauni langu nitumie usije ukalivaa.
Nawatakia kila la kheri, msalimie shemeji langu uporoto.


Mwambie X'mass natarajia kuwa mgeni wenu yale mahanjumati mlonipikia kwenye eid nimeyakumbuka sana... Gauni ntalituma kesho kwa dar xprec!
 
hivi hatuwezi uchapisha
tukaongeza na vionjo vya katuni
tukasambaza kwa wakala wa mauzo
naomba kuwa scrpt director kitengo cha katuni
hujambo Asha,za siku?
Mmmmmmmhhhhh hapo tutaingia mkenge wengi.
msalimie Kaizer,mwambie ile nakala ya 'jf udaku gazeti' aitunze vizuri.
 
Back
Top Bottom