thanx madam, nilikuwa ata sikumbuki duh!!!!!!!!!!MMU SPECIAL.!! Kwa wale wenzangu wa RC nawatakia Jumatano njema ya majivu. Plz do'nt forget "Funga Jumatano ya majivu" Usile nyama siku ya Ijumaa Kuu. Siku njema
Asante nawe pia
Asante sana kwa kutukumbusha
asante ila nimechelewa misa,ntaenda jioni
Nyie mabinti wawili, hebu m-come this way niwafanyie maombi:smash:
MMU SPECIAL.!! Kwa wale wenzangu wa RC nawatakia Jumatano njema ya majivu. Plz do'nt forget "Funga Jumatano ya majivu" Usile nyama siku ya Ijumaa Kuu. Siku njema
Majivu tu? Hata mafuta ukitaka.na majivu utatupaka?
Leo sitakunywa biya, naahidi.
Nyie mabinti wawili, hebu m-come this way niwafanyie maombi:smash:
Kumbe???? Leo ndio mnaanza kufunga?MMU SPECIAL.!! Kwa wale wenzangu wa RC nawatakia Jumatano njema ya majivu. Plz do'nt forget "Funga Jumatano ya majivu" Usile nyama siku ya Ijumaa Kuu. Siku njema