MMU hot talk

Kinachoendelea mwambie mtu mzima mwenzako asirudi hapa nyumba kubwa.
Maana nasikitika kuona anatukanwa na wadogo zangu.


Mimi naona kama hadithi hadithi za watoto....

Kuna ubaya gani watoto kucheza na kuchafuka ili wajifunze.....?

Seriously, sioni ubaya wowote hadi nilipoishia ukurasa wa 12....

Labda kwa sababu nilistaafu baada ya kupitia battle fields za kutosha...lol!!

Muendelee salama!

Babu DC!!
 
Kigoli (if I may) usionee mtu huruma asiye staili...
Siitaji huruma yako...
Nina kifua ndio maana nimechangia humu...

Eeee for your own benefit na nakuheshimu jamani haya siyapendi yatokeee angelita amevurugwa huyu achana nae bwana umeshamwambia kakusikia....
Ila kujibishana nae ni kujishushia heshima.
Haya samahani endelea kutukanwa lakini.....
 
Ahsanteeeeeeeeee na mtu utaogaje bila kuchafuka...
Gari zuri ni lile lililopita barabara ya matope tena ya mfinyazi na ya lami.
Gari ya lami pekee si salama.
 

angelita kwani nimeuliza vibaya? Samahani kama umenielewa sivyo, lakini ujue dunia imebadilika sana, mambo hata yanafanyika siku hizi sana. Na ujue aliyekuuliza maswali hakugusia mchezo mchafu wanaotendewa wanawake siku hizi. Ndio maana nikakuuliza. Mbona mengine umenijibu vizuri tu mpenndwa....!
 
Last edited by a moderator:
Eeee for your own benefit na nakuheshimu jamani haya siyapendi yatokeee angelita amevurugwa huyu achana nae bwana umeshamwambia kakusikia....
Ila kujibishana nae ni kujishushia heshima.
Haya samahani endelea kutukanwa lakini.....
Huwezi sema nashusha heshima wakati hujui kama ninayo at first place...
Wewe ume take sides ki silence afu wakati mwingine unataka kuwa kote kote...
Simamia unachoamini...
Na mimi nasimamia nachoamini...

Na sinaga kinyongo na mtu..
That's why Lara 1 ni rafiki yangu tukikutana kwenye nyuzi ambazo hatuna differences...

Heshima unashusha mtandaoni...like serious???with fake IDs????
 

Hahahahahaaaa, umemaliza yote kubwa la maadui, huu mziki mzito siku nyingine tukikutana watajipanga vizuri.
 
Jamani mumuache khaaaa kwani yeye ndo wakwanza??
Ndio haijakaa poa ila si kufikia kumwambia hivyooooo.
Na kashasema atamuacha akisha acomplish her missions probably 3 months from now(nkipiga mahesabu kama gari kaagiziwa this week).

No hard feelings with her....hiyo miaka mi3 halafu gari na msingi wa nyumba tu?geez,I can match or i can drop in bigger offer than that,yupo ready kuniuzia?mi mnunuzi mzuri wa p.ussy,im serious naomba aniuzie,siondoki nayo,natumia namwachia.....halafu alikua anatumia kinga walau?maana asijedhani anakamilisha missions zake akastuka wao ndio wanajikamilishia missions zao kwao
 

Hahahaa haaaa
Umenifanya.nicheke
 
mie naamini unachokisema ,mie na huyo angelita tumepishana 3 yrs tu....
Najua mengi ya sasa kuliko wew(upo enzi za zinjathropus)hiyo ndo life ya sasa mmeshamwambia amewasikia na katoa sabaaaabu ila ukataka kujifanya wewe ndo wewe kushikilia kidedea as if yeye ndo wa kwanza na probably hata wewe(kwa maelezo ya angelita) upo singe inawezekana ni kimada wa mtu au una serengeti maana 39 yrs ndo mihemuko ipo juu hatariiiii.
e
Yes nakuheshimu na hiyo hiyo fake ids.....
Ila umejishusha utakubalije mtoto wa 23yrs akuambie yakukuambia?
Mtu mzima akivuliwa nguo anatuchama wewe umeshindwa kuchutama....
 
Nimefurahi huu uzi umeleta toauti kubwa sana, kuna kipindi cha nyuma kidogo, mada kama hizi zilikuwa zikiletwa na hawa WATU zilipata aina flani ya ushabiki sana hapa JF, kuna watu walikuwa wanawashabikia lakini sasa hivi naona wamestukiwa..nawapongeza sana Tyta, nyumba kubwa, LebronWade, kim nana, Christine ibrahimu, Brenda 18, Harvest, Eiyer, Eli79, Kaunga, Diva Beyoncé kwa kuweka mambo sawa....mimi ntawaita TEAM KUAMINI MAFANIKIO YOYOTE(mapenzi au uchumi) YANAKUJA KWA KUFANYA KAZI KWA BIDII NA KUJITUMA. Lkini tumpe heshima kubwa sana nyumba kubwa JF woman of the year.
 
Ahsanteeeeeeeeee na mtu utaogaje bila kuchafuka...
Gari zuri ni lile lililopita barabara ya matope tena ya mfinyazi na ya lami.
Gari ya lami pekee si salama.

Wote tunapitia machafuko mbalimbali,yeye sio wa kwanza na wa mwisho,wote ni wadhambi....shida ni hawa wanakuja kujisifia kuharibu nyumba za watu as if ni jambo la maana wamefanya...wanadiss married people madhaifu yao na jinsi wanavyotake advantage kuhalalisha home wrecking...haiwezekani madhambi ninayofanya nije hapa nianze kuyaglorify kwamba ni sahihi,kama sio ujuha ni nini?
 
hawa si watoto ni watu wazima wanaoishi maisha ya kuigiza akina wema sepetu
 

Mtatangaza sana miaka ...
Hata miss Tz kasema ni 18...
Haisaidii...
Wanaume wamewashtukia wanaangalia sura kama imeshuka or not...
Miaka weka kwenye vyeti vya kuombea ajira au u miss
 
Nlikuwa nawaambia hakuna mtu ambaye ahfanyi uziznzi mkuu ila hawa kwanza wanaona ni sifa na kuwaponda watu watu waliotulia na walio kwenye ndoa..
 
You can say that again (navyopenda kusifiwa lol)

 
Mtatangaza sana miaka ...
Hata miss Tz kasema ni 18...
Haisaidii...
Wanaume wamewashtukia wanaangalia sura kama imeshuka or not...

Halafu nimekumbuka...kipindi cha nyuma nadhani last year...kuna uzi Lara1 alisha brag eti sijui ni 21yrz or something.....halafu puuuh all of sudden leo anadai 30yrz.....oooh my god,ngoja niuchimbue nikiupata,boooom!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…