oyoooo kuna mahusiano ambayo hayana deni hata mimi nimeshuhuia hili ..... sio mtu anakuganda kumbe it was a pass out.... hahahahaaaa hakuna mahusiano mazuri kama kuwa na mume wa mtu aiseeee na mipaka ikiwepo hakuna cha kugandana kivile unakuwa huru kufanya yako mengine..
Vizee kama hivi kuvikatia tella mbona easy tu! Unavifrustrate mpaka kuachana inakuwa idea yake mzee sasa, tena unajifanya inakuuma kuachwa kumbe MJINI MIPANGO!
Dawa yao mkilala unachat tu usiku mzima, akikwambia nakuja unatoka, unaomba hela kwa fujooo, kanakukatia mawasiliano chenyeweeeee!
Naona hii ndio fasheni siku hizi. You even applaud it...shame!
Ofcooz.... ni fasheni kama tena hii iko more advanced na itaendelea kuwepo milele amina. hii sio fasheni ya nguo kwamba itaisha la hasha hii ipogo na itaendelea kudumu...... uliza watu wakupe reasons sio kushangaa tu
Nimezipata reasons kwako, sina haja ya kuuliza tena. Lakini to every action there's an opposite equal reaction. Sidhani kama ni kitu cha kujisifia kulala na mume/mke wa mtu.Ofcooz.... ni fasheni kama tena hii iko more advanced na itaendelea kuwepo milele amina. hii sio fasheni ya nguo kwamba itaisha la hasha hii ipogo na itaendelea kudumu...... uliza watu wakupe reasons sio kushangaa tu
Ofcoz kila mtu anayefanya jambo ana reasons....sasa cha kujiuliza hizo reasons zako ndo zimuumize mtu mwingine??
PALEASEEEEEEEEEEE! SPARE US THE SENTIMENTS! Mwenye familia yake KAONA ITS NOT WORTH HIS RESPECT don't be sentimental kumtaka 3rd party ajitie ana uchungu sanaaa! Psheeeeeew! Cc wanafiki wrote mliolike haswaa TytaHata mm hua naonywa na kusikia,sikuhukumu ila nakwambia ukwel.Ulitaka nikusifie kutembea na mme wa mtu? Kama sehemu ya jamii naamin kuwa kukueleza ukwel ni jambo jema,mana wanaume ni wengi tu.Pia usi assume kila mtu anauovu wa type yako na ww ukapata tiket ya kudestroy familia ya mtu kisa et jamaa muislam.
Wewe ni nani hata unihukumu???? Maovu yako unayoyafanya umeyaacha????? Mkuu kabla hujarusha jiwe hakikisha wewe ni msafi.
Kila mtu anasitahili yake ya maisha aliyoamua kuishi ni maisha yangu nauhuru wakufanya chochote nitakacho.
Khantwe, sababu za kuumiza zipo na zinachukua nafasi kubwa tu. Huwezi jua hao wawili wamepitia visamga gani hadi huyo mume akawa hivyo alivyo, they worked hard for goodness sake. Yawezekana kuna kipindi watu wameshindia chai au uji ilimradi familia iwe na future nzuri, watu wamepitia magumu na ndoa zao. Leo mtu anajichekesha ati kumanua na mme/mke wa mtu is the best thing that could happen?
it is what it is...........
Ofcoz kila mtu anayefanya jambo ana reasons....sasa cha kujiuliza hizo reasons zako ndo zimuumize mtu mwingine??
Nitamchagua mtu mwingi ambaye hajao kwasababu dini yangu inaruhusu mke mmoja tu.
Na huyu niliyenaye siwezi kuolewa nae kwasababu dini tofauti na pia ana mke tayari.
Ofcoz kila mtu anayefanya jambo ana reasons....sasa cha kujiuliza hizo reasons zako ndo zimuumize mtu mwingine??
Nitamchagua mtu mwingi ambaye hajao kwasababu dini yangu inaruhusu mke mmoja tu.
Na huyu niliyenaye siwezi kuolewa nae kwasababu dini tofauti na pia ana mke tayari.
Nimezipata reasons kwako, sina haja ya kuuliza tena. Lakini to every action there's an opposite equal reaction. Sidhani kama ni kitu cha kujisifia kulala na mume/mke wa mtu.
Naona hii ndio fasheni siku hizi. You even applaud it...shame!
We mbona humu ndani hutoi status quo kama umeoa au la! Lol! Unajisevia benefit of the doubts mwanzo mwisho