Mmepotea ghafla, mmeenda wapi?


Triple N
Nikusaidie ?
 
nilikuwa napiga cha fasta, nimerudi sasa
 

Dahhh
Kunawengine wanaishi overseas mamake .
Mida yao haiendani ..
 
Nafurahi vile wewe hutegemei kompyuta ya ofisi, mie sahizi nngekuwa napiga story na nani?
Ofisi zinawabeba sana watu wengi hapa JF! Namshukuru mungu nina kichina changu! Muda wote network iko full
 
Na yeye kapiga cha fasta au ni wewe tu? Kama kawaida yenu, mie vitano, mara ooh kumi, kumbe peke ako mwingine hata moja bado.

nilikuwa napiga cha fasta, nimerudi sasa
 
Na yeye kapiga cha fasta au ni wewe tu? Kama kawaida yenu, mie vitano, mara ooh kumi, kumbe peke ako mwingine hata moja bado.
Na wewe haya mambo uneyajulia wapi? Hebu tupe experience..wewe waenda vingapi!!
 
Ofisi zinawabeba sana watu wengi hapa JF! Namshukuru mungu nina kichina changu! Muda wote network iko full
Hahaha... Umeonae? Ndio maana siku zote jivunie sana ulichonacho manake ni mali yako na kina thamani sana kwako....lol.... Usisahau pia mtegemea cha nduguye...


Alijisemea kiritimba watu ni wezi wa muda wa kazi kidogo anyongwe kwa kuwa mkweli...asikwambie mtu Rejao ukweli unauma we acha tu.
 
Mi nipo nimejaa tele kama pishi la mchele lijaavyo ndani ya sifuri a.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…