Akili Kichwani
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,508
- 216
Ndugu, hizo siyo spices za mapenzi hasa kwa wana ndoa. mara nyingi yanatokea kama ameshakuwa na wasiwasi nawe. hata akikuambia kuwa anafanya hivyo sababu anakupenda sana ni uongo tupu. mbona hakuwa anakuvalisha hizo nanihii zake tangu mwanzo? alisikia wapi mwanaume akivaa chupi ya mwanamke ndo inakuwaje sijui? hapo ndugu ujue kama hujatiliwa wasiwasi basi kuna lake jambo.
Mi naona ingekuwa ni kwa ajili ya vionjo, basi angekuwa anakuvalisha mkiwa chumbani ili awe anakuona, sasa anakuvalisha ukiwa unaenda kazini ili iweje? anakuona nani huko?
yap, sista................kwa washirikia inawezekana pia mganga wake kamuagiza hayo kwa malengo fulani............... hahaha............ take care............