Shishi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 1,242
- 39
kinachokuchosha nini hapo????.......... kuvaa? je angekuwa anakuvua na kukutaka uende kazini na kengele zinagongwa ungesemaje??.........anajinafasi tu ndani ya eneo lake la kujidai............ ndio raha yake, ndio udhaaifu wake.......... ukimkatalia utamyima raha ya maisha............. msapoti, ikiwezekana uwe unazinuua wewe........... na usisubiri akuvishe, vaa mwenyewe.......... kuna ubaya gani? si nguo tu????? tena ukishavaa uwe na amani na furaha tele................. maisha yaendelee kwa raha zenu...............
a. Kwa wanaume wanaoenda "downlow".. chupi nyeupe zinadokeza kama na wao wanatafunwa! Hivyo, anaweza kuwa na mashaka na wewe.
Jamani naomba mnishauri, mke wangu ananivalisha shupi zake kila siku. Mbaya zaidi ni chupi nyeupe, na nikirudi home ananikagua. .....Nimechoka sana na tabia yake, nishaurini nifanyeje??
Ebana eeeh hizo chupi nyeupe zinadokezaje kama mwanamme anatafunwa? And, how do you know that, by the way.....just curious
well.. its a common knowledge.. you can deduce that rationally.
Mhh haya kila la kheri ila inabidi uwe na mipaka hata kama ni mkeo jamni siku akikuambia uvae s.....a utakubali???
maria Roza hapo kwenye blue ulikuwa unamaanisha sidiria?
Haha hha Preta vile vikolombwezo vya kiunoni
Mwambie awe anakuvalisha na shanga kabisa uwe full burudani.Jamani naomba mnishauri, mke wangu ananivalisha shupi zake kila siku. Mbaya zaidi ni chupi nyeupe, na nikirudi home ananikagua.
Nimemuuliza kwa nini anafanya hivi amesema kuwa mimi nitoe ushirikiano tu akishamaliza kazi yake ataniambia kwa nini anafanya hivyo.
Pili anadai kuwa chupi nyeupe ni rahisi kwake kufua, sijui ni kweli?? kinachonishangaza ni ile kuvalishwa chupi zake na kunikagua kila nirudipo nyumbani.
Nimechoka sana na tabia yake, nishaurini nifanyeje??
Jamani naomba mnishauri, mke wangu ananivalisha shupi zake kila siku. Mbaya zaidi ni chupi nyeupe, na nikirudi home ananikagua.
Nimemuuliza kwa nini anafanya hivi amesema kuwa mimi nitoe ushirikiano tu akishamaliza kazi yake ataniambia kwa nini anafanya hivyo.
Pili anadai kuwa chupi nyeupe ni rahisi kwake kufua, sijui ni kweli?? kinachonishangaza ni ile kuvalishwa chupi zake na kunikagua kila nirudipo nyumbani.
Nimechoka sana na tabia yake, nishaurini nifanyeje??
Wana JF, nashukuru sana kwa mawazo yenu na kunifariji. Kwao mnaodhani hivi ni vioja siwezi kuwafanya muelewe ukweli wa jambo hili.
Siyo siri, nampenda sana mke wangu, na wala hatujakorofishana kuhusu mahusiano nje ya ndoa. Ndiyo maana swala hili nikalileta hapa niweze kueleweshwa kama ni kwaida au vipi? Maana JF ni jungu kuu halikosi ukoko.
Na hii yote imenigusa baada ya mwana JF kueleza kuwa mkewe ameweka mchuchumio kwenye kiti cha mbele ya gari ya mme.
Kwa walio kwenye ndoa nadhani hivi ni vijimambo tu vina-spice up mapenzi.
Itafikia siku atakwambia uvae gaguro zake, sijui utasemaje!
Kama wewe ni Muumini wa Dini ya Kiislam, ilo jambo la kuvaa nguo za kike limekatwaza kwenye Uislam.
Mwenyezi Mungu kamlaani mwanamme mwenye kuvaa vazi la kike, na mwanamke mwenye kuvaa vazi la kiume. Kama alivyowalaani wale wanaume wenye kujifananisha na wanawake, na wanawake wenye kujifananisha na wanaume.
(Imepokewa na Bukhaariy)
Na kama ni Mkristo pia Biblia imeshakataza jambo ilo:
Mwanamke asivae mavazi yampasayo mwanamume, wala mwanamume asivae mavazi ya mwanamke; kwa maana kila afanyaye mambo hayo ni machukizo kwa Bwana, Mungu wako.
Kumbukumbu la Torati 22:5