Mulama
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 3,047
- 1,823
Mimi binafsi nakushukuru sana kwa kutujuza habari hii, hata bbc, al jaziira au cnn wakitoaga breaking news si kwamba huwa wamekwenda kutoa msaada kwanza say bomb limelipuka mahala fulani llimejerui au kuua watu kadhaa. Wao kazi yao ni kujuza wasikilizaji na wasomaji huu pia ni wajibu mkubwa.
Kwa wale wanaokulaumu kuwa umetoa breaking news bila kutoa msaada wapuuze tu kwakuwa nao wametimiza wajibu wao ( kulaumu) japokuwa lawama zao hazisaidii kama wewe ulivyotusaidia kujua tukio hilo!
Kwa wale wanaokulaumu kuwa umetoa breaking news bila kutoa msaada wapuuze tu kwakuwa nao wametimiza wajibu wao ( kulaumu) japokuwa lawama zao hazisaidii kama wewe ulivyotusaidia kujua tukio hilo!