Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Fundi wa Tanesco amenaswa na waya wa umeme na kufariki papo hapo hapa Mbezi Africana
 
nimepita eneo la ajali muda si mrefu, kulikuwa na maiti kama nne, bado wanaendelea kuwatoa watu kwy basi... lemepondeka sana matairi yako juu, wanatingisha then wanachomaa mtu. Hakuna vifaa vya kuokoa walinaswa ndani ya basi
 
WaTZ tunazidi kutolewa khafara tu. Ehh Mola tusaidie. 🙁
 
Mungu atunusuru maana nowdays hakuna basi la kuliamini yaani wengine wanaona bora wasafiri private
 
We need to have the HIGHWAY POLICE DEPARTMENT, other country they call them interstate police kukaa kwenye hizo barabara usiku na mchana kuangalia huo uendeshaji.

The other alternative is to create a two way line... rather than one way to help the traffic and high speed

This Good Roads now will kill all of us now...
 
Taarifa nilizozipata kutoka kwa shuhuda ambaye yupo eneo la tukio, basi linaloitwa Gravia linalotokea Mbeya kwenda Dar limepeta ajali maeneo ya Mwidu KM55 kutoka Morogoro mjini.

Basi hilo limepinduka na watu kadhaa kupoteza maisha na wengine wengi kujeruhiwa.

Chanzo cha ajali ni overtaking ya basi hilo kujaribu kulipita gari lingine.

So far miili ya watu watatu(wanawake wawili na mwanaume mmoja) zimepatikana na inakadiliwa maiti nyingine zimebanwa na gari hilo ambalo raia wema wanajitahidi kulinyanyua basi hilo kwa kutumia mikono yao bila mafanikio.

Tayari askari wa usalama barabarani wamefika eneo la tukio lakini hawana msaada kwani hawakuja na kifaa chochote cha kusaidia uokoaji.
Mvua inanyesha maeneo hayo na kazi ya kuokoa bado ni ngumu kwani hakuna vifaa vya uokoaji.

Mungu aziweke roho za marehemu mahala pema pemoni....
 
We need to have the HIGHWAY POLICE DEPARTMENT, other country they call them interstate police kukaa kwenye hizo barabara usiku na mchana kuangalia huo uendeshaji.

The other alternative is to create a two way line... rather than one way to help the traffic and high speed

This Good Roads now will kill all of us now...

Do you think it will work in this country..!?
 
Mleta mada wewe umeokoa wangapi na hio gari yako kuwakimbiza hospitali?au ulikuwa unawaangalia wanavyoteseka tu,watanzania bana hatusaidiani kabisa.
 
asante kwa taarifa sahihi, je ni Njome au Mbeya maana kama ni Grazia linatoka Njombe Dar, asante sana kuna thread kule imeanzishwa mkuu
 
Hivi morogoro kuna nini kwani???? mbona ajali kila siku morogoro....this is too much!!!1

Iti is the most deadly accident zone. Hasa hayo maeneo ya Mikumi, Mikese hadi Bwawani. halafu chukua Chalinze hadi Kibaha. Why..? Sijui!
 
Mleta mada wewe umeokoa wangapi na hio gari yako kuwakimbiza hospitali?au ulikuwa unawaangalia wanavyoteseka tu,watanzania bana hatusaidiani kabisa.

Priority kwake ni kuwa wa kwanza kuripoti hili tukio katika JF.
 
Back
Top Bottom