Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

WanaJF haabari zenu! Nimeshuhudia ajali mbaya sana ya gari aina ya Lori mnamo saa 07:36am Maeneo ya Puma karibu na Hospital ya Malikia wa ulimwengu-Singida! Lori ilikuwa ikielekea mnadani ikiwa na wajasiriamali takribani sabini! Bado haijajulikana mauti yamewapata wangapi ila hali ni mbaya mno! Namshukuru Mola kwani ilikuwa ituangukie wakati tunatakaka kupishana nalo!
Nawakilisha!

Mbona ajali nyingi Singida ni eneo hilohilo?
Nakumbuka Basi la Mohamed liliwaka moto karibu na hapo
 
Tuletee more update plz mlioko kwenye eneo la tukio, msisahau picha mkiweza. poleni wahanga
 
Kuna kitu lazima watanzania wote tuelewe
sysytem yetu kuanzia serikalini ambako ndo wapo responsible na usalama wetu ni mbovu
solution ni kuondoa hii system mbovu na kutengeneza nyingine
 
WanaJF haabari zenu! Nimeshuhudia ajali mbaya sana ya gari aina ya Lori mnamo saa 07:36am Maeneo ya Puma karibu na Hospital ya Malikia wa ulimwengu-Singida! Lori ilikuwa ikielekea mnadani ikiwa na wajasiriamali takribani sabini! Bado haijajulikana mauti yamewapata wangapi ila hali ni mbaya mno! Namshukuru Mola kwani ilikuwa ituangukie wakati tunatakaka kupishana nalo!
Nawakilisha!
..Lugha gongana sio...Hakuna gari aina ya lori...kama ni lori basi aina yake lazima itambulike Scania, Isuzu, Fuso nk nk nk nk....Pole kwa wote!!
 
IMG00274-20110914-1540.jpg Kuna ajali mbaya imetokea morogoro ya basi,me nipo kwenye private car hilo basi limetupita likataka kutugonga tukakwepa tukaa pembeni,baada ya dakika 10 tumekuta limepata ajali nimeshuhudia maiti wawili wapo chini na wengine wamebanwa ndani ya busi.

Viongozi wapo wapi?na hawa wenye magari inakuaje wanawapa magari yao hao vichaa waendeshe?mana wanaua tu watu kila siku

==============
UPDATES:
Taarifa nilizozipata kutoka kwa shuhuda ambaye yupo eneo la tukio, basi linaloitwa Gravia linalotokea Mbeya kwenda Dar limepeta ajali maeneo ya Mwidu KM55 kutoka Morogoro mjini.

Basi hilo limepinduka na watu kadhaa kupoteza maisha na wengine wengi kujeruhiwa.

Chanzo cha ajali ni overtaking ya basi hilo kujaribu kulipita gari lingine.

So far miili ya watu watatu(wanawake wawili na mwanaume mmoja) zimepatikana na inakadiliwa maiti nyingine zimebanwa na gari hilo ambalo raia wema wanajitahidi kulinyanyua basi hilo kwa kutumia mikono yao bila mafanikio.

Tayari askari wa usalama barabarani wamefika eneo la tukio lakini hawana msaada kwani hawakuja na kifaa chochote cha kusaidia uokoaji.
Mvua inanyesha maeneo hayo na kazi ya kuokoa bado ni ngumu kwani hakuna vifaa vya uokoaji.

Mungu aziweke roho za marehemu mahala pema pemoni....
 
Viongozi Wa Tanzania wamesahau wajibu wao sana wanawaza uchaguzi.

Tume zinaundwa kila siku na hakuna linalofanyika la maana au hatua kali huwa hazichukuliwi, hii ni Tanzania zaidi ya uijuavyo
 
Basi sijui ilaitwa glacier or someting lilikua linatoka njombe kuja dar,ajali imetokea mbele kidogo ya mikese,yan dereva alikua anaendesha kama kichaaa, nahisi alikua amelewa maaana sijapataona alitaka kutupiga overtake na gari lipo mbele yetu tukakwepa tukaa pembeni akatupita, tumekuta kaua watu jamani ts sad
 
Gari gani? Ilikuwa inatoka wapi kwenda wapi? kama haujui hilo futa thread yako kwa kuwa haina msaada kwetu
 
kuna mtu yupo kwenye basi la sumry akitoka iringa anasema ajali imetokea eneo la bwawani ila kuna mabasi kama matano yamekamatwa chalinze polisi kuhojiwa huenda walikuwa wanakimbizana pia kuna miili ya watu zaidi ya sita imefikishwa hapo chalinze polisi
 
haya asante kwa taarifa ngoja tutapewa siku kadhaa za kuomboleza na kuanza kudanganywa kuwa tuwe na moyo wa subira........
 
unapouliza viongoz wako wapi unamaanisha nn kwan kiongoz gan unamuhitaj , unaacha kuwasaidia watu unataka viongozi kweli tanzania hatuweza kuendelea kila kitu viongoz hata hili la kuwasaidia wenzetu walionaswa? lawama zingine tuangalie jaman tusikurupuke km tunaamka usingizin
 
Kuna ajali mbaya imetokea morogoro ya basi,me nipo kwenye private car hilo basi limetupita likataka kutugonga tukakwepa tukaa pembeni,baada ya dakika 10 tumekuta limepata ajali nimeshuhudia maiti wawili wapo chini na wengine wamebanwa ndani ya busi.

Viongozi wapo wapi?na hawa wenye magari inakuaje wanawapa magari yao hao vichaa waendeshe?mana wanaua tu watu kila siku

VIONGOZI WANINI TENA HAPO MKUU?? MBONA MNAPENDA TOA LAWAMA KWA WATU WASIO NA HATIA!!, wewe umetoa msaada gani hapo ulipopita au umeona maiti mbili ukaondoka???
 
hatuna mwana jf miungoni mwa watu aw jirani na eneo la ajali. kama wapo tunahitaji maelezo zaidi. ukitafakari maisha hapa yameharibika watu hawana fikra za kuthamini uhai kama hali inazidi kuwa ngumu. walevi wa pombe,bangi na mihadarati mingine wanaongezeka kila siku. Mitihani hiyo kwa watawala
 
Back
Top Bottom