Amina Thomas
JF-Expert Member
- Mar 9, 2008
- 272
- 130
<br />Basi gan hlo mkuu?, lilikua linatoka na kwenda wapi?
<br />
ni basi la grazier kutoka njombe limeanguka baada ya kupasuka tairi. Inahofiwa watu wamepoteza maisha na majeruhi wengi wamwbanwa ndani. Source: itv breaking news