Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Ni basi la Grazia linalofanya safari kati ya Dar~Njombe,inasemekana chanzo ni mwendo mkali na mvua zinazoendelea mkoani pwani.
 
Ni kweli mwendo kasi wa Grazia V. Safari ndicho chanzo cha ajari ya basi hilo kwa leo; mi nimetoka Njombe saa 12 kamili asubuhi nikiwa na Basi la Budget, kulingana na Ratiba ya Pale Njombe Stend basi huwa zinapishana robo saa wakati wa kuondoka lakni cha kushangaza tumefika Mafinga(mufindi) Grazia ikiwa sambamba na Budget ikiwa imeziacha mbali UPENDO na NYAGAWA ambazo zimeitangulia kutoka Njombe stend: alafu nikiwa palepale Mafinga Stendi nilishudia Trafic/Polisi akimuita dreva wa Grazia pembeni nikaisi anamwambia juu uendeshaji wake na ghafla nikaona huyo dreva anachumoa Waleti na kutoa Noti moja kama si Elfu 10 basi Elfu 2 kwani ilikuwa Nyenkundu kiaina na kumpatia huyo trafic na kisha akaondoka.
 
Mpumzike kwa amani. Poleni wafiwa. Majeruhi mpate kupona haraka.

Btw, skijui hili 'shipa' tutamtupia nani....maana lile la nungwi tuliwapa miss tz/voda!?
 
unapouliza viongoz wako wapi unamaanisha nn kwan kiongoz gan unamuhitaj , unaacha kuwasaidia watu unataka viongozi kweli tanzania hatuweza kuendelea kila kitu viongoz hata hili la kuwasaidia wenzetu walionaswa? lawama zingine tuangalie jaman tusikurupuke km tunaamka usingizin
&lt;br /&gt;<br />
katika nchi ambayo serikali haiwathamini wananchi wake mojawapo ni Tanzania ndo maana wapo tayari wananchi wafe njaa wao wagombanie posho Bungeni na kupiga porojo za Uchaguzi maana ndo wenye umuhimu kwao. Kama Serikali, imeonesha jitihada na mikakati gani madhubuti katika kuhakikisha inazuia vifo vya wananchi wake? Au ndo wanasubiri vifo vitokee ili wapate Rambirambi za kunenepesha matumbo yao?. Ukweli serikali haiwajibiki kwa wananchi wake katika swala la ulinzi na Usalama. Wengine leo wameuawa huko Geita hadi vikongwe wanapigwa Risasi je hii ndo amani Tanzania? Ukweli uko wazi serikali na viongozi wake hawana msaada wowote katika kulinda Uhai wa Wananchi Wake hapa nchini.
 
Gari gani? Ilikuwa inatoka wapi kwenda wapi? kama haujui hilo futa thread yako kwa kuwa haina msaada kwetu

Naona husomi unafungua tu thread. Jina la gari mimeandikwa kwenye headingi sijui unataka aandikeje? Ameelezea hata ajali ilivyotokea. Jojipoji kazi unayo.
 
Watu 10 wamekufa 7 ni wanaume na 3 wanawake chanzo ni mwendo kasi-kamanda wa polisi mkoa wa pwani ametanabaisha
Hapa kazi ipo
wapo radio wametangaza sasa hivi maiti 10 zimeshapatikana, wanawake 8 na wanaume wawili kwenye basi la Bravia lililokuwa linatoka Njombe kuja Dar. Maiti zimeshapelekwa hosp na bado wanaendelea kuinua basi ili kuopoa maiti zaidi
 
nani mmiliki wa basi,,mwarabu??tutaisha!
<br />
<br />
Mmiliki ni mbongo, mbenna, anafanya kazi sub scania mandela road. Alikuwa na basi mbili zote injin nyuma, moja imekufa ipo yard. Ilikuwa imebaki hiyo moja tu iliyopata ajali'nayo ilikuwa ni kimeo balaa, kwan ilikuwa inakaa hata wiki moja na nusu bila kwenda njombe au dar.ni basi kimeo sana.
 
Jamani jana nieshuhudia Maiti wawili wakitolewa kwenye gari ambalo lilikua limeharibika vibaya kilometre Chache kabla ya kufika mikese ukitokea Dar Kwenda Morogoro.

Kwa hali ilivyokuwa inaelekea kuna watu wengi walipoteza Maisha katika ajali ile.

Ee Mungu tuepushe na hili Janga la ajali hapa Tanzania.

Jamani Imefika wakati wakuliishi neno, kama wewe ni Muislamu ishike quran, The same applies to you Christians.

Tuliishi neno jamani
 
Ni kweli Vivian,tunatembea roho mkononi.Ni Mungu tu mwenye kutuepusha.
 
Jamani jana nieshuhudia Maiti wawili wakitolewa kwenye gari ambalo lilikua limeharibika vibaya kilometre Chache kabla ya kufika mikese ukitokea Dar Kwenda Morogoro.

Kwa hali ilivyokuwa inaelekea kuna watu wengi walipoteza Maisha katika ajali ile.

Ee Mungu tuepushe na hili Janga la ajali hapa Tanzania.

Jamani Imefika wakati wakuliishi neno, kama wewe ni Muislamu ishike quran, The same applies to you Christians.

Tuliishi neno jamani
Bahati mbaya tunamkumbuka Mwenyezi MUNGU pale matatizo yanapotusibu....Kwa jinsi anavyotupenda (MWENYEZI MUNGU) NI WAJIBU WETU KUMPENDA, KUMHESHIMU, KUMUABUDU NA KUFUATA NJIA ZAKE KATIKA KILA TUTENDALO.

RIP WALIOFARIKI KATIKA AJALI HIYO
 
Jamani jana nieshuhudia Maiti wawili wakitolewa kwenye gari ambalo lilikua limeharibika vibaya kilometre Chache kabla ya kufika mikese ukitokea Dar Kwenda Morogoro.

Kwa hali ilivyokuwa inaelekea kuna watu wengi walipoteza Maisha katika ajali ile.

Ee Mungu tuepushe na hili Janga la ajali hapa Tanzania.

Jamani Imefika wakati wakuliishi neno, kama wewe ni Muislamu ishike quran, The same applies to you Christians.

Tuliishi neno jamani

Na bado mnaamini ajali hizi zote zinaletwa na uzembe wa madereva na blaa blaa zingine za kipuuzi.Poleni sana.Na kwa vile mmeweka pamba masikioni ili msiusikie ukweli,mtakwisha,na bado.
 
Mimi nadhani ni wakati wakutembea na viboko kwenye magari kwa ajili ya kuwatandika hawa madereva wazembe. Ajali hazitokei tu bila kuwa na uzembe...! Na uzembe mwingi unasababishwa na madereva wakichangiwa na polisi wa usalama barabarani maana hawa polisi ndo hasa wanaopokea rushwa na kuruhusu madereva wazembe waendeshe bila kufuata sheria za barabarani.
 
Back
Top Bottom