Trice Sturmius
Member
- Sep 8, 2011
- 41
- 3
kwel Quinty, umenena. 2cpoamua kuwahmiza mdareva kufuata sheria z barabaran, 2taendlea kufa kam kuku. Ikiwezekana hat viboko 2ingie navyo kwny magar.Mimi nadhani ni wakati wakutembea na viboko kwenye magari kwa ajili ya kuwatandika hawa madereva wazembe. Ajali hazitokei tu bila kuwa na uzembe...! Na uzembe mwingi unasababishwa na madereva wakichangiwa na polisi wa usalama barabarani maana hawa polisi ndo hasa wanaopokea rushwa na kuruhusu madereva wazembe waendeshe bila kufuata sheria za barabarani.