Jamani nimepigiwa simu kuna ajali mbaya imetokea minaki lori limelalia<br />
dalaldala watu watano wameshatolewa maiti na wengine wamelaliwa<br />
juhudi za polisi kunasua waliobakia ama maiti watarajiwa bado zinaendelea<br />
kama una ndug ajarudi mpaka usiku huu na yuko mitaa ya kisarawe msanga<br />
embu jaribu kucheki nae kwa kubofya kama jamaa awajamsaidia kumzimia<br />
basi asiache kwenda kushukuru mungu siku ya kesho jamani....<br />
Poleni wafiwa na majjeruhi 20 wameshatolewa hali zao sio nzuri sana