sumry+mohamed transi?????!???!!!!!!yanashndana kuuandg zangu basi la sumry limepata ajali mbaya eneo la same ,bas limegawanyika vpande viwil.
sumry+mohamed transi?????!???!!!!!!yanashndana kuuandg zangu basi la sumry limepata ajali mbaya eneo la same ,bas limegawanyika vpande viwil.
Mungu alaze roho za marehemu mahali pema peponi. Na majeruhi wapone haraka.
Kama hili basi linapata ajali kila mwezi sehe$u tofauti tofauti za route yake kwa nini bado linakuwa njiani?kwa nini authority hazioni kuna walakini katika kampuni hii? Linapaswa kufungiwa kabisa leseni yake ya biashara bila hata kuuliza maswali mara mbili.
Yaani huyo hafai Msikitini, Kanisani hata chini ya mti au ndani ya pango, yani maiti yake inafaa itupwe chooni coz baharini atawatia najisi samaki na kaburini atatia najisi rutuba ya ardhi.
NIjuavyo ajali zinapokuwa ni za mara kwa mara-tena zikihusisha kampuni moja/hiyohiyo-kama ni ya ndege-basi lazima hizo ndege wazi-"ground" na kuzifanyia uchunguzi wa kina
So kwa mfano huo-nilitegemea serikali nayo ingesimamisha kampuni ya sumri-na kufanya uchunguzi juu ya magari yake,ili wajue ni sababu gani yanapata ajali kila kunapokucha-maana sasa yanapoteza maisha ya wananchi
Bila kusahau mwezi wa tatu Sumry toka Mtwara liligongana na Gari dogo na kuua watu wanne...
rip marehemu, ahsante kwa taarifa mkuu.Watu zaidi ya 6 wamefariki ndio napita maeneo haya... Daladala,Lorry na Double cabin.