Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Acha kuchangia upuuzi huo we umeona chadema peke yao ndo binadamu wengine mapaka mle? Uwe na huruma bwana ndo mana chadema ha2taki kuwapa nchi hi 7bu ya ujinga kama huo, poleni sana kwa ajali jamani tutaisha sasa.
 
Duh poleni wote. Jana tu nlikuwa najadili mambo ya sumry na rafiki zangu. Nadhani ni moja ya mabas yanayoendeshwa ovyo na sijui kiburi wanakipata kwa nani
 
Acha kuchangia upuuzi huo we umeona chadema peke yao ndo binadamu wengine mapaka mle? Uwe na huruma bwana ndo mana chadema ha2taki kuwapa nchi hi 7bu ya ujinga kama huo, poleni sana kwa ajali jamani tutaisha sasa.
anaulza kuna CHADMA,Mana kwake n bora waishe il wabak Magamba!its uncuth and barbaric word!hell go
 
sidhani kama ukisikia ndugu yako yumo humo ndani utafurahia ulichoandika. Ila kama inakupa raha kuandika mzaha kwa watu wanaoteseka kwa majeraha, labda na wengine kupotelewa na ndugu zao. Tuwe na utu hata kidogo.
kweli kabisa maana naona jamaa analeta uchale
 
Je haya mabasi ya Summry si ndiyo yale yenye chasisi za malory? Je lilikaguliwa kama
 
Jaman hiz ajali zinatishia sasa, taratibu naanza kutopenda travelling allowance.
 
Wamekufa wangapi, wana CHADEMA wamo humo. Nadhani hiyo ndiyo ndiyo habari

MAGAMBA BWANA!! SIASA HATA PASIPO SIASA!!

Mkuu tunashukuru kwa updates tupe development kwa maana ya majuruhi na vifo kama vipo.
 
du Mungu atusaidie, pole kwa wote waliopata ajali, hizi ajali jamani zina rudisha uchumi nyuma, hela inayotumika kutibu majeruhi zingetumika kwa maendeleo hivyo ni vizuri tukiinvest kuzuia zisitokee jamani!
 
Poleni kwa majeruhi na wafiwa. Taarifa zaidi wakuu!
 
Hawa Sumry si ndio waliua watu 17 Mbeya mwezi uliopita?! Sasa huu si(tusi) kwanin hii kampuni isifungiwe maana sababu za ajari zote ni makosa ya kibinadamu hakuna BAHATI MBAYA! Mpinga anawachekea tu!!
 
lilikuwa linatoka wapi linaenda wapi? Sumry ni kampuni kubwa.habari inaweka kila mwenye ndugu safarini kuhangaika
 
Back
Top Bottom