Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Lini ajali zitapungua na hata kwisha kila siku tunapoteza ndugu,jamaa ,marafiki sababu ya uzembe wa watu wachache.
 
Ndg zanguni! Poleni wafiwa wote na ht wale wote walioguswa kwa namna moja ama nyingine. Lakini kuna ki2 bado cjakiona kwenye thread hii,Je? Ni ndugu ze2 wangapi wamepoteza maisha? Na je? Ajali chanzo chake ni nini? Tafadhalini kw mwenye kujua anijuze. NAWAKILISHA.
 
Tujuze kwa ukamilifu; bus lilikuwa linatoka wapi, kama umefanikiwa kujua idadi ya majeruhi na hatua ambazo zimechukuliwa mpaka sasa katika kuokoa maisha ya ndg zetu tafadhali.
 
Wamekufa wangapi, wana CHADEMA wamo humo. Nadhani hiyo ndiyo ndiyo habari

Haya ni mawazo ya kishetani na kufilisika kimawazo, katika hali kama hii ni vyema tukasahau itikadi zetu za kidini, kisiasa, kikabila na nyinginezo.
 
Someone has completely missed out my point. My very intention was to express my sympathy towards any pro-CHADEMA adherent involved in the tragedy. I don't behave such fatuously to celebrate someone's death as it is utterly inhuman, regardless of their ideologies.
 
Tujuze kwa ukamilifu; bus lilikuwa linatoka wapi, kama umefanikiwa kujua idadi ya majeruhi na hatua ambazo zimechukuliwa mpaka sasa katika kuokoa maisha ya ndg zetu tafadhali.
kwa mida aliyo ripoti litakuwa linatoka Arusha - Mbeya au Dodoma maana ndiyo yanaondoaka Arusha mapema...
 
Someone has completely missed out my point. My very intention was to express my sympathy towards any pro-CHADEMA adherent involved in the tragedy. I don't behave such fatuously to celebrate someone's death as it is utterly inhuman, regardless of their ideologies.
Usijibaraguze kwa kujifanya ulikuwa unatoa pole. Umeharibu ndugu! We omba samahani yaishe tu!
 
Someone has completely missed out my point. My very intention was to express my sympathy towards any pro-CHADEMA adherent involved in the tragedy. I don't behave such fatuously to celebrate someone's death as it is utterly inhuman, regardless of their ideologies.

"Join Date : 13th June 2011"
 
Back
Top Bottom