Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Poleni sana majeruhi jamni wana jf tuwe tunafuata sheria za barabarani
 
Duh mbaya saana hii, poleni wote mliohusika kwenye ajali hiyo
 
Aisee poleni sana ndugu zangu wa Dar ila cha msingi tuzingatie usalama wetu na mali zetu mabarabarani yani tuendeshe kwa uangalifu na nidham ya kutosha...
 
Katika vigezo vya kupata leseni ya udereva kuwepo na kipimo cha SAIKOLOJIA. yaani uwezo wa mtu kuicontrol akili yake na kufanya maamuzi sahihi.

Kutoka lango la Mlimani City mpaka round about ni hatua chache, mwendo wa madereva wengi pale ni wa kifo. Inasikitisha kwamba pamoja na barabara kuwa nzuri (one side) lakini haisaidii kupunguza ajali. Matuta ndo suluhisho la pekee kwani hata ile alama ya Zebra huwa hatuiheshimu sisi madereva...

Sooo sad
 
Poleni sana, sasa utasikia solutions za kibongo bongo, "Weka matuta hapo"
 
Katika vigezo vya kupata leseni ya udereva kuwepo na kipimo cha SAIKOLOJIA. yaani uwezo wa mtu kuicontrol akili yake na kufanya maamuzi sahihi.

Kutoka lango la Mlimani City mpaka round about ni hatua chache, mwendo wa madereva wengi pale ni wa kifo. Inasikitisha kwamba pamoja na barabara kuwa nzuri (one side) lakini haisaidii kupunguza ajali. Matuta ndo suluhisho la pekee kwani hata ile alama ya Zebra huwa hatuiheshimu sisi madereva...

Sooo sad

Pia ni vizuri tungezingatia kutokuendesha huku tumelewa/ kunywa pombe...POLISI inabidi wawezeshwe na vifaa vya kupimi madereva kiwango cha pombe mwilini, na hii kazi inabidi ifanyike hasa mida ya usiku ambapo watu wanatoka ktk sehemu za starehe....

Asante kwa taarifa! na pole kwa wahusika
 
Pombe + frustration za kufungwa+kibuti-kumtii Mungu= udereva mbovu unaopelekea kuendesha kizembe hatimaye kusababisha vifo
 
Matuta sisuluhisho!!Suruhisho ni madriver kuwa makini pale ajali nikila wiki wengi wanopata ajali ni wale wanaotoka samakisamaki!!Natoa pole kwa wafiwa and R.I.P. Kwaliofariki katika hiyo ajali!
 
Pole kwa wahanga wote wa ajali hii, kuna kitu ambacho watu wengi hukipuuzia sana 'seat belts', watu wengine eti wanadhani mikanda ni kwa ajili ya dereva tu, hao kina dada wangevaa mikanda (mshipi) uwezekano wa kusrushwa nje ya gari ungekuwa mdogo sana, na twaweza sema wana bahati maana wakati mwingine unaweza kutupwa barabarani halafu ukapitiwa na gari nyingine.

kitu kingine ni mizuka na ubishoo, kwani inakuwaje unaingia mainroad bila kuangalia kama kuna gari huko, hiyo mbona ni common sense, au basic knowledge. unapoendesha gari mawzo yako yawe barabarani, sio kwingine kokote, tena unatakiwa kuendesha na magari mengine sio lako tu, nina maana unafanya ile wanaita 'Defensive Driving' ili kuepuka madereva wazembe.


THERE IS A THIN LINE BETWEEN LIFE AND DEATH. Especially on the roads
 
Please ''DONT DRINK AND DRIVE'' Hivi hanuamini hii ni mbaya mpaka yawakute?
Wengi huwa wanasema wakiwa ''mtungi'' ndio cofidence barabarani inaongezeka!
Just dont call that confidence, give it another name.
 
Duh...! mambo ya samaki samaki hayo

poleni wote .... RIP and get well soon
 
Tatizo nilionalo mimi ni kuwa siku hizi waendesha magari ni wengi sana hapa mjini lakini madereva ni wachache that's why ajali zimekuwa nyingi...Utakuta mtu kapata kampkopo kake huko anakimbilia kununua gari automatic analiingiza barabarani hajui sheria hata moja..........We need to change!!
 
Hao mashost ndo walijisahau hivyo? Inasikitisha lakini wakati mwingine usista duu ni tatizo
 
Pole kwa wahanga wote wa ajali hii, kuna kitu ambacho watu wengi hukipuuzia sana 'seat belts', watu wengine eti wanadhani mikanda ni kwa ajili ya dereva tu, hao kina dada wangevaa mikanda (mshipi) uwezekano wa kusrushwa nje ya gari ungekuwa mdogo sana, na twaweza sema wana bahati maana wakati mwingine unaweza kutupwa barabarani halafu ukapitiwa na gari nyingine.

Kwanza poleni sana waanga wa ajali hii

Tarehe 13 8 2005 Ndipo nilipojua umuhimu wa MIKANDA niligongwa kwa nyuma na basi ambalo lilikuwa linakwepa head - on collision na Lori. Mimi nilisalimika ila jamaa yangu aliyekuwa pembeni aliumia sana kwani alirushwa kwenye kioo. Gari yangu ilipigwa kichwa chini miguu juu. Nilijifunza mengi sana siku hiyo,


Awali ya yote Imani, wakati napata ajali kulikuwa na kundi la waumini wanaenda/ wanatoka kanisani, wakati gari imepigwa na kuwekwa pembeni mwa barabara watu wakitusaidia kutoka na wengine wakiendelea kutuibia, akina mama kama wanne hivi walikuwa wakiangusha sala wakikemea ROHO ya mauti, ktk ajali hiyo ahakuna aliyekufa hata mmoja na aliyeumia alipona

Pili:uongo mtu aliyefika dk tatu baada ya ajali ndiye aliyejifanya kuwa alikuwepo - ingawa alitokea kilabuni na kukuta wote tumeisha tolewa ndani ya magari lakini walivyofika wandishi ndipo akaeleza alivyofikiri yeye, akieleza uongo kabisa

Tatu: Wizi, mwizi alikuja kuniibia simu niliyokuwa nimevaa shingoni na bado sijatoka kwenye gari, naangaika kufungua mkanda (gari ikiwa up side down), nilikuwa na akili timamu nikashika simu yangu, akanipaga ngumi na kuichukua namkumbuka hadi sura, ingawa amehama maeneo hayo,labda kwa aibu kwani nasikia watu walianza kumsema juu ya tukio hilo na pia kaka yake ni jirani yangu tulikuwa tunajenga baada ya kuhamia ndo tumefahamiana.

Nne: Network ya wenye mabasi na trafiki, Mwenye basi ndiye aliyekuwa na kosa. Trafiki walipofika mwenye gari aliwapigia simu nao wakaniomba nikubali kuwa nilionyesha naenda kulia wakati nilikuwa naenda kushoto mimi nikagoma, nilibembelezwa wapi
 
Kuna tabia mbaya siku hizi ya kuingiza gari barabarani bila kujari gari iliyoko nyuma yako ina speed kiasi gani, na daladala wanaongoza kwa hilo...wanachofanya ni kuwa ukinigusa nyuma utajiju....tatizo linatokea pale ambapo mtu unaumizwa hata kupoteza maisha maana wewe ndio utajiju kwa uzembe ulioufanya...well, all are lessons kwa hiyo tujifunze kutumia barabara vizuri.
POleni wotee mlioathirika na tatizo hilo
 
Usiku wa leo mara tu baada ya kuisha kwa mechi ya mpira kati ya manchester na chelsea imetokea ajali mbaya katika lango la kutokea mlimani city kuingia main road upande unaotazamana na Sinza (siyo upande wa survey)..

Gari aina ya corona premio lilikuwa linatoka Mlimani City na kuingia main road bila kuangalia ambapo gari aina ya altezza likiwa kasi sana limeigonga premio na kuzunguka karibu mara 2.

Watu (wanawake/wasichana) hali zao ni mbaya sana kwani karibu wote walirushwa nje na kutua barabarani..watu waliosogea karibu zaidi yangu wanasema mmoja amekufa palepale na wengine wawili wana hali mbaya wamekimbizwa hospitali. Aliyekuwa kwenye toyota altezza amesalimika kabisa..

Naomba kuwasilisha...

Ni tabia yetu watz kutokufunga mikanda ya usalama (safety belt) hadi tusimamiwe na polisi.Jamani,kabla ya kuwasha gari funga mkanda however near u ar going coz huwezi jua utakutana na nini.Hao waliorushwa wangekuwa wame-buckle up wasingeumia/kufa hivyo.Mungu awarehemu,nasi pia atupe busara. :rip:
 
Wanamuzik wa bend ya xtra bongo wamepata ajali kwenye mataa ya magomen alfajili ya leo,hakuna aliyepoteza maisha ila wapo waliojeruhiwa vbaya,na wamekimbizwa hospitali
 
Back
Top Bottom