Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Mh tupitao moro tukiwa twenda mikoa mingne ni roho mkononi au wahusika wamelala nini mpaka tumalizike ndo wawajibike sijui itakuwa kwa nani kama wameshatumaliza.Jamani inauma saana mishahara posho na rushwa wanatafuna lakini kututumikia hawataki
 
Jana na leo mkoani moro watu takribani tisa(9) wamefariki dunia ktk ajali ya magali iliyotea. Swali langu ndugu kuna nn haswa na hz ajali..!

source: chnl 10 news bullets.
 
Jana na leo mkoani moro watu takribani tisa(9) wamefariki dunia ktk ajali ya magali iliyotea. Swali langu ndugu kuna nn haswa na hz ajali..!

source: chnl 10 news bullets.


inasemekana huko kulifanyika conspiracy theorem ambayo ilimkera Muumba wa Mbingu na Nchi.
 
me nafikiri madereva wanatakiwa kuwa makini zaid wanapofika eneo la moro. Ni ajali za kawaida tu ila tukiendelea kuamini iman hzo basi kwel watu watazidi kufa wafikapo eneo hlo.
 
Cha muhmu hapa ni maombi tu hakuna kingine
 
Tatizo ni madereva wanaendesha kwa fujo,wanapita magari ovyo,asilimia kubwa ya ajali ni kugonga au kugongana magari uso kwa uso,makosa ya kibinadamu wala tusimtafute mchawi
 
Usimhusishe Mungu na upuuzi huo.He is a loving God.
Tafadhari rejea matukio hayo ya Yesu;
1) Pamoja na kwamba Yesu aliambiwa mapema kuwa Lazaro alikuwa anaumwa, lakini alichelewa kwenda kumwona na kumkuta amefariki na hapo alimfufua.
2) Yesu alimponya kipofu wa kuzaliwa amabapo Wayahudi waliamini kuwa ilikuwa ni kwa sababu ya dhambi zake au wazazi wake na walimuuliza Yesu hilo. Yesu aliwajibu kuwa amezaliwa hivyo ili utukufu wa mungu uonekane kupitia huyo kipofu kwa kuponywa na Yesu. Kwa hiyo yanayotokea dunia ni mipango ya mungu tu. Mungu anafanya kazi kinyume kabisa na fikra za binadamu ndo maana watu wanataka kuona matukio mazuri tu ndo yawe mpango wa Mungu.
 
Mmmhhh hii mbona inastua jamani, Jmosi nikiwa napita pale ubungo kituo kidogo cha daladala nikamwona mhubiri mmoja anadai ameokoka na ni mkenya, huyu bwana akaniteka fikra kidogo baada ya kumsikia akisema kwamba ajali ya wale wasanii wa 5 Stars Modern Taarabu ni kafara ya mtu wa Freemason, kiukweli nilistuka sana na akaita watu wakose sms aliyotumiwa kwenye simu yake, wakajitokeza watu kadhaa wakaisoma kila mtu then akamwambia mmoja wao aisome loudly kwa kutumia mic ili hata sie wapita njia tusikie, then sms ilisomeka hivi "MIMI NI MEMBER WA FREEMASON NA NDIE NILIESABABISHA AJALI YA 5 STARS KULE MOROGORO, NO YA KAFARA NI 13, 5 na 3, HIVYO 13 TAYARI IMEKAMILIKA BADO 5 na 3." na yule bwana akaelezea maana ya hizo namba za kafara kuwa ni idadi ya watu wanaotakiwa kutolewa kafara. Mie nasema kama haya ni ya kweli hawa wanaotoa wenzao kafara wajue kuwa maisha hayana gerentii na ni mafupi hivyo nao wana msala wa kwenda kujibu kwa Sir God!
:rip:wapendwa mliofikwa na ajali na Mungu awape afya njema majeruhi wote.
 
Mmmhhh hii mbona inastua jamani, Jmosi nikiwa napita pale ubungo kituo kidogo cha daladala nikamwona mhubiri mmoja anadai ameokoka na ni mkenya, huyu bwana akaniteka fikra kidogo baada ya kumsikia akisema kwamba ajali ya wale wasanii wa 5 Stars Modern Taarabu ni kafara ya mtu wa Freemason, kiukweli nilistuka sana na akaita watu wakose sms aliyotumiwa kwenye simu yake, wakajitokeza watu kadhaa wakaisoma kila mtu then akamwambia mmoja wao aisome loudly kwa kutumia mic ili hata sie wapita njia tusikie, then sms ilisomeka hivi "MIMI NI MEMBER WA FREEMASON NA NDIE NILIESABABISHA AJALI YA 5 STARS KULE MOROGORO, NO YA KAFARA NI 13, 5 na 3, HIVYO 13 TAYARI IMEKAMILIKA BADO 5 na 3." na yule bwana akaelezea maana ya hizo namba za kafara kuwa ni idadi ya watu wanaotakiwa kutolewa kafara. Mie nasema kama haya ni ya kweli hawa wanaotoa wenzao kafara wajue kuwa maisha hayana gerentii na ni mafupi hivyo nao wana msala wa kwenda kujibu kwa Sir God!
:rip:wapendwa mliofikwa na ajali na Mungu awape afya njema majeruhi wote.

Ehhee! Nimeshtuka mno kwa taarifa hii! Mungu tu atusaidie!
 
eeeh mola tuokoa na hili balaa kama hizi ajali ni mpango wa hao mashetani,

tunahitaji kuomba sana kwa hili hasa tukiufunika mkoa wa moro kwa damu ya yesu.
 
Jana na leo mkoani moro watu takribani tisa(9) wamefariki dunia ktk ajali ya magali iliyotea. Swali langu ndugu kuna nn haswa na hz ajali..!

source: chnl 10 news bullets.

JK at work
 
Usiku wa leo mara tu baada ya kuisha kwa mechi ya mpira kati ya manchester na chelsea imetokea ajali mbaya katika lango la kutokea mlimani city kuingia main road upande unaotazamana na Sinza (siyo upande wa survey)..

Gari aina ya corona premio lilikuwa linatoka Mlimani City na kuingia main road bila kuangalia ambapo gari aina ya altezza likiwa kasi sana limeigonga premio na kuzunguka karibu mara 2.

Watu (wanawake/wasichana) hali zao ni mbaya sana kwani karibu wote walirushwa nje na kutua barabarani..watu waliosogea karibu zaidi yangu wanasema mmoja amekufa palepale na wengine wawili wana hali mbaya wamekimbizwa hospitali. Aliyekuwa kwenye toyota altezza amesalimika kabisa..

Naomba kuwasilisha...
 
Poleni waliopata ajali, we must be careful when entering the main road jamani, uwe kwa mguu,pikipiki, gari hata ukiwa ndani ya basi.
 
Poleni sana wafiwa. Hizi barabara zetu zinatisha sana. Watu hawafuati sheria za barabarani, Madereva ambao hawana sifa ya kuwa barabarani wanaachiwa tu kuendesha bila kujali athari yake kwa Taifa 🙁 Magari ambayo hayana hadhi ya kuwepo barabarani yanaachwa tu barabarani bila kujali athari ya haya magari mabovu kwa watumia barabara zetu. 🙁
 
Watu hawafuati sheria kabisa. Na jingine watu hawapendani. Je uliwahi kutembea kwa mguu ukagongana na mwenzio hadi aka anguka chini. Mbona kwenye magari watu wanatembezeana ubabe utadhani kuna visasi vya siku nyingi.
 
Back
Top Bottom