Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

pole zao sana......majeruhi wapone haraka.....
 
Chanzo cha ajali ni nini? Mungu awarehemu, wapone haraka
 
Poleni wasanii wa Xtra Bongo. Mtoa habari kama unaweza tu-update basi nani kaumia na hali zao zikoje?
 
Walioumia sana ni wanenguaji ambao wana majeraha makubwa wapo muimbili,mkurugenz wa bend ali choki aliwataja majina,sikuweza kuyanote kwa asubuh ile........
 
Huenda wasani wakawa wanaongoza kwa maasi, NA WAMREJEE MUUMBA WAO SASA.
 
bado sijajua vizuri ni kwa nini wanamiziki hupatwa na kuuawa kwa ajali sana tena mbaya sana ...cha ajabu hata magari binafsi hawana lakini uishia kwa magari ya wengine,Yawezekana wao ni lango kuu la maovu hapa duniani ...huu ni mtazamo tu
 
msiwahukumu hawa wanamuziki.kwani waliokumbwa na tsunami kule japan ni wadhambi kuliko sisi? wanaumuziki wa 5 star wadhambi kuliko sisi? wanaoukfa na majanga kila siku ni wadhambi kuliko sisi? kabla ya kuhukumu jiangalie kwanza ww mwenyewe leo umetenda dhambi mara ngapi? hujaiba? hjatamani mke/mume wa mtu? sio fisadi? sio mzinzi? mlafi? mwizi? mchoyo? dharau nk? hiyo ni ajali kama ajali zingine na tatizo ni uzembe wetu wenyewe wa kutoheshimu sheria za barabarani....................................................shetani yupo kazini akitumaliza.
 
Baada ya gari la mafuta kupata ajali wilayani Manyoni eneo la round about ya kwenda Singida na Tabora kupitia Itigi, watu kadhaa ( Idadi kamili haijapatikana bado) wamefariki dunia na wengi kujeruhiwa kufuatia tank la mafuta kulipuka. Vifo na majeruhi vimetokana na wananchi wengi kwenda eneo la tukio kwa ajili ya kusomba mafuta hayo. Chanzo cha mlipuko bado hakijafahamika.


Tunaendelea kufuatulia chanzo cha mlipo na idadi ya majeruhi na waliopoteza maisha.

Ushauri: Watanzania ni lazima tufike mahali tuepuke njia za mkato katika maisha.
 
Idadi ya majeruhi katika Hospitali ya Wilaya ni kubwa sana na watu wengine hawarusiwi kuingia.
 
pole kwa wafiwa na majeruhi wapate nafuu haraka.......
 
bana watu wakome na hii tabia ya kijinga kukimbilia kuchotamafuta magariyanapopata ajali ....mi siwatakii rest in peace wala nini
 
Baada ya gari la mafuta kupata ajali wilayani Manyoni eneo la round about ya kwenda Singida na Tabora kupitia Itigi, watu kadhaa ( Idadi kamili haijapatikana bado) wamefariki dunia na wengi kujeruhiwa kufuatia tank la mafuta kulipuka. Vifo na majeruhi vimetokana na wananchi wengi kwenda eneo la tukio kwa ajili ya kusomba mafuta hayo. Chanzo cha mlipuko bado hakijafahamika.


Tunaendelea kufuatulia chanzo cha mlipo na idadi ya majeruhi na waliopoteza maisha.

Ushauri: Watanzania ni lazima tufike mahali tuepuke njia za mkato katika maisha.
kila wakati tukio kama hili linatokea na hapa naomba tusiilaumu serikali kwa hivi vifo tujilaumu wenyewe
 
umasikini na shida tulizo nazo havi-justify matumizi ya vichwa vitupu visivyo na ubongo wenye akili ndani yake.
Kwanini kila wakati watu wawe wanaambiwa jambo lile lile, ni mara ngapi tumeona na kusikia ajali za namna hiyo, kwanini tulazimishane kuachiana majonzi na mizigo ya kijamii kwa kuyakatisha maisha yetu kikatili na kipumbavu namna hiyo???
Hiki tabia inaudhi sana, sisi tumekuwa watu wa aina gani ambao hatujifunzi kitu kutokana na historia na majanga yanayotukumbuka?

Mungu amua mwenyewe pa kuwalaza mimi sina ombi maalum kasoro kwa wale ambao ajali hii haikutokana na kwenda kuchota mafuta...
 
kila wakati tukio kama hili linatokea na hapa naomba tusiilaumu serikali kwa hivi vifo tujilaumu wenyewe

Serikali haiwezi kukwepa lawama katika hili kwani eneo ajali ilipotokea ni eneo ambalo trafic hakaa na kuweka kuzuizi wakati wa duria usiku na kwa taarifa za awali polisi waliokuwepo eneo la tukio wamefariki dunia kutokana na kushindwa kuwazuia wananchi na inasemeka miongoni mwao walikuwa wanauza hayo mafuta.
 
umasikini na shida tulizo nazo havi-justify matumizi ya vichwa vitupu visivyo na ubongo wenye akili ndani yake.
Kwanini kila wakati watu wawe wanaambiwa jambo lile lile, ni mara ngapi tumeona na kusikia ajali za namna hiyo, kwanini tulazimishane kuachiana majonzi na mizigo ya kijamii kwa kuyakatisha maisha yetu kikatili na kipumbavu namna hiyo???
Hiki tabia inaudhi sana, sisi tumekuwa watu wa aina gani ambao hatujifunzi kitu kutokana na historia na majanga yanayotukumbuka?

Mungu amua mwenyewe pa kuwalaza mimi sina ombi maalum kasoro kwa wale ambao ajali hii haikutokana na kwenda kuchota mafuta...

Serikali na wadau mbalimbali wasichoke kuwaelimisha wananchi juu ya hatari kama hizi. Pamoja na kuwa wananchi wanayo mifano ya kutosha ya matukio ya namna hii bado kuna haja ya kuendelea kutoa elimu
 
Serikali haiwezi kukwepa lawama katika hili kwani eneo ajali ilipotokea ni eneo ambalo trafic hakaa na kuweka kuzuizi wakati wa duria usiku na kwa taarifa za awali polisi waliokuwepo eneo la tukio wamefariki dunia kutokana na kushindwa kuwazuia wananchi na inasemeka miongoni mwao walikuwa wanauza hayo mafuta.
wananchi hawajui kuwa mafuta yanalipuka??jamani jamani mambo mengine sio laziam hadi serilakli iwepo karibu. kitendo chenyewe ni cha mda ambao hauzidi hata masaa mawili,Mungu katupa uwezo wa kufikiri kwa kial mwanadamu
 
bana watu wakome na hii tabia ya kijinga kukimbilia kuchotamafuta magariyanapopata ajali ....mi siwatakii rest in peace wala nini

Mmh! Mkubwa huu msimamo wako hapana... Kuna watu wasio na hatia hata kidogo wameathirika katika hili janga
 
Back
Top Bottom