mfarisayo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 5,160
- 2,004
Mmh! Mkubwa huu msimamo wako hapana... Kuna watu wasio na hatia hata kidogo wameathirika katika hili janga
Ni kweli wengine walikua wanakaa tu pembeni wakishangaa ila kwa kuwa petrol ilisambaa sana ardhini na nguo zilishashika harufu ya kutosha na wao waliwaka