Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Mimi nlitokea Dar 2lipofika mbele ya mto Ruvu nilikuta foleni ndefu sanaa magari 4 yamepata Ajali gari dogo crester limearibka vbya na fusso,scania la mizio na gari la meridian.katka ajali hyo akuna kifo ila dereva wa gari dogo aliumia vibya sana sabbu ya ajali hazikufamika mapema
 
Poleni wote mlio nusurika, EE MUNGU TUNUSURU NA MABAYA YOTE, AMEN.
 
...almanusura tulivae ...kwa hiyoo ni Mungu tu amesaidia........ mtot mmoja wa kiume miaka 13 amevinjika miguu yote miwili na mguu wa kushot ndi unaning'inia mfupa uko nje.....lakini ule wa kulia umeondka kabisa....
Mtoto amekatika mifupa mguu mmoja unaning'inia mwingine umechomoka, unasema "Mungu tu amesaidia," Mungu amesaidia nini hapo? Next time ukiwasiliana nae hebu muulize Mungu wako, kwa nini hakukisaidia kukiepushia hiki kitoto maumivu ya kukatika mifupa. Mbona mimi binadamu wa kawaida nina huruma kuliko huyo Mungu?
 
jana niliona hiyo ajari nikitokea makambako na lupelo,jamani upendo zinakimbia sana mimi naziogopa sana,ajari zinaepukika madereva kuweni makini fikirieni roho za watu pia nguvu kazi ya taifa mnavyopoteza kwa uzembe wenu,inaumiza sana na namshukuru Mungu nilifika salama.
 
Hii ni ajali ya tatu kwa Upendo bus tena njia hiyo hiyo ya Iringa.
something is wrong with these Upendo buses.
 
Mtoto amekatika mifupa mguu mmoja unaning'inia mwingine umechomoka, unasema "Mungu tu amesaidia," Mungu amesaidia nini hapo? Next time ukiwasiliana nae hebu muulize Mungu wako, kwa nini hakukisaidia kukiepushia hiki kitoto maumivu ya kukatika mifupa. Mbona mimi binadamu wa kawaida nina huruma kuliko huyo Mungu?

Taso please nenda katubu hiki kitu umeandika hapa................... mkuu umekufuru mbaya!!!!
 
Mungu awatangulie majeruhi wote mpone mapema mrudi ktk shughuli zenu za kawaida amen
 
mimi nilikuwa nyuma ya basi hilo nikiwa na basi la Sumry...basi hilo lilianza kuyumba ghafla na baada ya hapo likapoteza uelekeo kabisa na kupinduka likageuka kule lilikotoka(daslam)...hata sisi almanusura tulivae basi hilo na leo yalikuwa ni msururu wa mabasi kama sita hivi.kwa hiyoo ni Mungu tu amesaidia.....

ki ukweli hakuna aliyepoteza maisha kwenye ila watu wamejeruhiwa vibaya sana...kuna mtot mmoja wa kiume miaka 13 amevinjika miguu yote miwili na mguu wa kushot ndi unaning'inia mfupa uko nje.....lakini ule wa kulia umeondka kabisa....mimi binafsi ndiye niliyembeba mtoto yule kumtoa chini ya gari na ilibidi kubadili nguo pale maana nilitapakaa damu sana wakati tunawatoa wale majeruhi

wale majeruhi walichukuliwa kwenda hosp morogoro...lakini katika hali ya kushangaza kuna gari la serikali lilipita pale na kukuta njia imefungwa na dreva wa gari hilo akaombwa kubeba baadhi ya majeruhi ..kwa kiburi chake akagoma na kuliondoa gari kiasi kwamba kidogo asababishe ajali nyingine ya kugonga watu.....kwa kuwa njia ilikuwa imefungwa hakufika popote.....akasimama ndipo watu wakajaa pale na kutoa upepo tairi zote na kutoboa matairi...........




sahv hawa madreva wangelikuwa wanapelekwa ndani moja kwa moja miaka 5 alafu ndo mashitaka yaanze ..vingnevyo ndugu/jamaa zetu watakwisha na vilio havitaisha kila kukicha ..Ehee Mungu!
 
mimi nilikuwa nyuma ya basi hilo nikiwa na basi la Sumry...basi hilo lilianza kuyumba ghafla na baada ya hapo likapoteza uelekeo kabisa na kupinduka likageuka kule lilikotoka(daslam)...hata sisi almanusura tulivae basi hilo na leo yalikuwa ni msururu wa mabasi kama sita hivi.kwa hiyoo ni Mungu tu amesaidia.....

ki ukweli hakuna aliyepoteza maisha kwenye ila watu wamejeruhiwa vibaya sana...kuna mtot mmoja wa kiume miaka 13 amevinjika miguu yote miwili na mguu wa kushot ndi unaning'inia mfupa uko nje.....lakini ule wa kulia umeondka kabisa....mimi binafsi ndiye niliyembeba mtoto yule kumtoa chini ya gari na ilibidi kubadili nguo pale maana nilitapakaa damu sana wakati tunawatoa wale majeruhi

wale majeruhi walichukuliwa kwenda hosp morogoro...lakini katika hali ya kushangaza kuna gari la serikali lilipita pale na kukuta njia imefungwa na dreva wa gari hilo akaombwa kubeba baadhi ya majeruhi ..kwa kiburi chake akagoma na kuliondoa gari kiasi kwamba kidogo asababishe ajali nyingine ya kugonga watu.....kwa kuwa njia ilikuwa imefungwa hakufika popote.....akasimama ndipo watu wakajaa pale na kutoa upepo tairi zote na kutoboa matairi...........




Safi sana kaka huo ndo moyo wa ubinadamu, na huyo dereva wa gari ya serikali mngemshushia na kichapo juu...
 
Watu 5 wamekufa papo hapo,1 kafia njiani akipelekwa hosp,8 wamejeruhiwa baada ya Toyota Hiace kugongana na Lori eneo la Mikese Morogoro. RADIO1 STEREO
 
RIP Morogoro imeshakua sehemu ya machinjio sasa!!!tatizo ni nini haswa?
 
RTO wa morogoro anatakiwa awajibishwe kwa nini kila siku ajali morogoro! Speed camera wanazo kama hawana wakanunue, trafiki wapo wengi tuu kwa nini wasizuie magari yaendayn kasi mbona madereva wakiingia mkoa wa iringa wanaendesha kistaarabu? Maana RTO wa iringa yuko serious na ma driver wanao over speed. Ndiyo huu ujinga wa kuchaguana kwa kujuana RTO hayupo serious na kazi kuna ajali bahati mbaya na kuna uzembe, lakini ajali nyingi ni uzembe wa madereva hapo ndipo kazi ya trafiki inaingia.
 
:rip::rip::rip::rip::rip::rip::rip::rip::rip::rip::rip::rip::rip::rip::rip::rip::rip::rip::rip::rip::rip::rip::rip::rip::rip::rip::rip::rip::rip::rip:
 
Back
Top Bottom