samirnasri
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 1,388
- 215
Ajali mbaya imetokea mikumi ikihusisha gari aina ya costa na lori ambapo wasanii zaidi ya kumi wa bendi moja ya taarabu (sikusikia wakati ikitajwa) wamefariki wakiwa njiani kurejea dsm. Source radio one breaking news.