Linatokea Mza kuja Dar.Not clear, bus linatoka wapi na linaelekea wapi? Usagara ya wapi?
Linatokea Mza kuja Dar.
Nimepita hapo sijaona dalili za kasheshe hilo. Niliangalia sana kwani nilisoma habari hii nikiwa ofisini. Nilianza kuangalia tokea Bucha hadi Kimara Mwisho sikuona kama kuna mahali kulikuwa na ksheshe hilo
kumbe zile picha ni za wapi?
Hapo Korogwe pana ajali nyingi sana za ajabu, kunacku nilishuhudia love 4 ikitenda maajabu iliruka toka upande mmoja kwenda wa pili na kusababisha ajali mbaya sana!
Bismillah Rahmani Rahim. Mwenyezi Mungu tunakuomba uwalaze pahala pema marehemu na uwaponye majeruhi wapate nafuu na pia tunakuomba utuepushe na ajali na mabalaa yote Tanzania. AMIN.
Kuna basi lilikuwa linafanya safari ktk dar kwenda Tanga limepata ajali muda sa mrefu maeneo ya pingo,limejeruhi na kuua majeruhi wa tumbi,natafuta jina basi
kuna basi lilikuwa linafanya safari ktk dar kwenda tanga limepata ajali muda sa mrefu maeneo ya pingo,limejeruhi na kuua majeruhi wa tumbi,natafuta jina basi