PrN-kazi
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 2,900
- 445
Ni msiba mzito kwakweli; tumewapoteza ndugu zetu bila kutalajia, hatuna la kufanya zaidi ya kumwachia Mwenyezi Mungu.
Ila ninabaki na kushangaa juu ya utendaji kazi wa Askari wa barabarani. Ukiwa unasafiri wakati wa mchana kupitia barabara ya Dar/Mbeya/Songea utakutana na polisi wakifanya patrol(raod patrol)
Cha kujiuliza, patrol ya barabara ni kwa mchanu tu? Ukiangalia ajari iliyopelekea vifo vya wasanii wa taarabu usiku wa kuamukia jana, ilitokea baada ya basi dogo walilokuwa wanasafiria kuligonga kwa nyuma gari lililokuwa limepaki barabarani mara baada ya kuwa limearibika na bila kutoa ishara kwa magari yanayotokea nyuma au mbele kwa taazali zaidi.
Askari wa Patrol wangekuwa wako kazini, nina imani ajari kama hii usingetokea. Hivyo sioni haja ya askari kufanya patrol ya barabarani mchana tu kana kwamba barabara usiku uwa zinafungwa.
Ila ninabaki na kushangaa juu ya utendaji kazi wa Askari wa barabarani. Ukiwa unasafiri wakati wa mchana kupitia barabara ya Dar/Mbeya/Songea utakutana na polisi wakifanya patrol(raod patrol)
Cha kujiuliza, patrol ya barabara ni kwa mchanu tu? Ukiangalia ajari iliyopelekea vifo vya wasanii wa taarabu usiku wa kuamukia jana, ilitokea baada ya basi dogo walilokuwa wanasafiria kuligonga kwa nyuma gari lililokuwa limepaki barabarani mara baada ya kuwa limearibika na bila kutoa ishara kwa magari yanayotokea nyuma au mbele kwa taazali zaidi.
Askari wa Patrol wangekuwa wako kazini, nina imani ajari kama hii usingetokea. Hivyo sioni haja ya askari kufanya patrol ya barabarani mchana tu kana kwamba barabara usiku uwa zinafungwa.