Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Habari zilizothibitishwa na wadau zinadai waliofariki hapohapo ni wanne,

Pole sana kwa wafiwa
 
Mwendo kasi ninahisi inaweza kuwa ndio sababu, tumuombe mungu mwenye rehema awape nafuu majeruhi kwa haraka.
 
Duh! Poleni wafiwa! Majeruhi pateni nafuu haraka. Mwenyewe nipo safarini kuelekea Dar. Tunamshukuru Mungu kwa kuendelea kuwa nasi na kuendelea kutuepusha na ajali. Mwisho wa mwaka huu,mambo mengi hutokea barabarani. Tutakieni safari njema wanaJF.
 
Mwisho wa mwaka shetani yupo kwenye mavuno. Kila mwaka inapokaribia Chrismas na mwaka mpya mambo huwa sivyo ndivyo kabisa. Poleni sana wafiwa.
 
Duh! Poleni sana wafiwa! Walio safarini nawatakia mfike salama muendako.
 
Poleni sana mlihusika kwa namna moja au nyingine katika ajali hiyo!
 
Hivi jamani kila kitu hatuwezi Hata kuzuia vifo vya ndugu zetu pia hatuwezi Jana harambee Leo super feo kesho hatujui itakuwa nini
 
Maskini watani zangu, poleni kwa masaibu yaliyowakuta na mola awajaalie majeruhi wapate nafuu haraka na kuwarehemu marehemu wote kwa uzima wa milele na pia naomba awajaalie nguvu wafiwa waweze kuwa na moyo wa ustamilivu katika kipindi hiki kigumu.
 
Mwisho wa mwaka shetani yupo kwenye mavuno. Kila mwaka inapokaribia Chrismas na mwaka mpya mambo huwa sivyo ndivyo kabisa. Poleni sana wafiwa.

Naunga mkono hoja kwa 100%, kwani wengine ndo kipindi cha kukamilisha moja ya masharti ya mikataba na Ibilisi! kila mwaka ili utajiri wake uendelee lazima atoe kafara! Kafara zao mauti yetu!

Poleni sana majeruhi na wafiwa!
 
Pole kwa wote walioguswa na ajali hiyo!Na Mungu awalinde waliopo njiani!
 
... Tunamshukuru Mungu kwa kuendelea kuwa nasi na kuendelea kutuepusha na ajali.
Mungu ametuepusha na ajali gani wakati unasikia watu wameshakufa?

Ajalia hazisababishwi, wala hazizuiliwi, na Mungu, Mungu gani hana memory we kila siku unamuomba kitu hicho hicho weeee, hatekelezi, hajibu, hafanyi chochote. Njia za kuzuia ajali ni za kibinadamu, period
 
Watu 6 wameteketea hapo hapo kwa moto baada ya gari lao aina ya Land Rover kuwaka moto huko Mbeya vijijini.Wengine 11 wamelazwa katika hospitali, na 2 hali zao mbaya.
IPP Media
 
hiyo landrover mkuu inaweza beba watu 18? Mmmh au ni nini kimefany watu wote wawe involved?
 
pole sana kwa majeruhi na wafiwa na roho za marehemu zilale pema peponi, amen!
 
Shapu maisha ya Bushi hayo hakuna viti ndio maana imetokea hivyo hata hivyo hao ni wahache
hiyo landrover mkuu inaweza beba watu 18? Mmmh au ni nini kimefany watu wote wawe involved?
 
Back
Top Bottom