Ni pabovu siku nyingi ndo maana watu hatukuona logic ya kutengeneza chalinze - segera kabla ya korogwe - same!
kayange, pole sana. Mimi lilipita wakati mtei imepinduka nikaambiwa prado ziligongana asubuhi.
La kufanya ni kuishinikiza srkl kutatua hili swala, pesa ipo, mbona inaweza kulipa b185 kwa kampun isiyojulikana mmiliki wake. Cjui ni mizimu inalipwa!
kuna mdogo wangu alikuwa kwenye hilo basi la mtei alitokea arusha .thanks god aliumia tu ..sasa sijui kuwa kaumia sna au vipi..nimeongea naye kwenye simu anadai alibanwa na vyuma na kaeda hospitali wamempa madawa na sasa hivi yuko nyumbani, nimemshukuru mungu sana . Na nampenda sana mdogo wangu wa mwisho ndio anangojea matokea ya form six.
R.I.P. the deads!iNASEMEKANA NI DEFENDER YA MAGEREZA MKOA WA PWANI. ALIKUWEMO DREVA, MKUU WA MAGEREZA MKOA NA BODIGADI, AMBAO WAMEFARIKI