Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Kila basi litakalokamatwa kwa uendeshaji wa kizembe na mwendo wa kasi pandisha bei ya bima, na jina la dereva lidhibitiwe, kwenye kusajili mabasi lazima usajili dereva wako wa basi linalosajiliwa sio kila dereva anaendesha basi hilo.

abiria apewe kifuta jasho kwa kila atakopotowa taarifa ya siri kwa askari ataepokea rushwa(hata kama kupiga picha askari anaepokea)

Faini za mwendo mbaya lazima ifikiriwe tena kwani ni kidogo,

Viwepo vituo vidogo kila baina ya masafa fulani ili kujuwa masafa yale dereva ametumia muda gani, ikiwa ni muda mfupi, ni kosa lazima iwepo adhabu,

Hayo machache mengine yapo njiani
 
Jamani tatizo siyo mabasi mabovu bali ni udhibiti wa sheria mbovu. Kwa wale wanaosafiri kati Dsm na Mby wanafahamu jinsi kanga weupe walivyo jipanga njia nzima na magari yote ya abiria yana ratiba lakini ni machache tu [pengine skandinavia pekee] ambayo yanafuata ratiba hizo. Kinachotokea ni kwamba madereva wakikutana na kanga hao huwasalimi na kuendelea na safari. Kuna mabasi yanatoka Dsm saa 12.30 asubuhi na kufika Mby saa 11. hivi ukichukulia umbali kati ya sehemu hizi mbili na spidi inayokubalika kisheria ya 80KPH unadhani wangefika saa hizo?
Tajiri naye hana hasara kwani bima ina kazi gani??
Wanaopata hasara ni akina yakhe kwani hakuna namna.

Hivi sheria ingekuwa kuwa kali sana mnadhani ingekuwaje?
icon8.gif
 
Ni ajari Nyingine imetokea baada ya Basi la Kampuni ya 'JORDANI' linalofanya safari zake kati ya Singida-Mwanza.

-Ajari imetokea katika Mkoa wa Singida baada ya Basi kupinduka nakuuwa watu kumi hapo hapo (10) wengine kujeruliwa vibaya,
 
Habari za hivi punde,''Hazijadhibitishwa sana' zinasema basi la Jordani la kutoka Arusha kwenda mwanza limeua zaidi ya kumi....

Inasikitisha sana..

Ni Masikitiko makubwa sana...Ndani ya kipindi kifupi nchi yetu imekumbwa na majanga makubwa ya ajali...Kiasi kwamba sasa watu tunajiuliza,nana zaidi..

Ajali
Ukimwi
Au Maleria..

Kweli tunahitaji kupata ufumbuzi wa haraka,na sio kuangalia sehemu moja tu ya ukimwii

au tunaliangaliaje hili?
 
Kwa mtindo huu kweli hatutabakia hata mmoja. Juzi nilihisi ingewekwa habari ya wabunge nao kupata ajali ingawa haikuwa kwa kirefu ajali nyingine ilitokea Shinyanga na Askari 1 na Wabunge 2 (Lucy Kihwelu na Danstan Mkapa ) inasemekana waliumia vibaya. Kweli ufumbuzi wa haraka unahitajika maana inaonekana wadereva vilaza na wasijali maisha ya wananchi wamejaa mtaani
 
Habari za hivi punde,''Hazijadhibitishwa sana' zinasema basi la Jordani la kutoka Arusha kwenda mwanza limeua zaidi ya kumi....

Inasikitisha sana..

Ni Masikitiko makubwa sana...Ndani ya kipindi kifupi nchi yetu imekumbwa na majanga makubwa ya ajali...Kiasi kwamba sasa watu tunajiuliza,nana zaidi..

Ajali
Ukimwi
Au Maleria..

Kweli tunahitaji kupata ufumbuzi wa haraka,na sio kuangalia sehemu moja tu ya ukimwii

au tunaliangaliaje hili?


imethibitishwa na TBC sasa hivi na kwamba ajali hiyo imetokea mpakani manyara na singida.

CHANZO CHA AJALI -mwendokasi.
 
alipata kweli ajali wala sio alikatwa mkono kwa kufumaniwa,idea ya kuukata mkono ilitolewa na madaktari wa MOI baaada ya kuona umeharibika kiasi amabacho usingeweza kutibiwa.na pia baada ya ajali alipelekwa hospitali ya nyangao iliyopo lindi,na alikuwa anaendesha yeye mwenyewe,sasa hayo ya kufumaniwa na kukatwa mkono sijui yantokea wapi wakati mkono haukukatika siki ya ajali

Sawa, lakini mbona gari halikupigwa picha? Magari mengine yote yanayohusika na ajali za watu wazito kama hao huwa tunaona picha zake, kumbuka ajali ya Mhe. Mwakyembe, Mhe Wangwe, Mhe Mbatia n.k.
 
Sawa, lakini mbona gari halikupigwa picha? Magari mengine yote yanayohusika na ajali za watu wazito kama hao huwa tunaona picha zake, kumbuka ajali ya Mhe. Mwakyembe, Mhe Wangwe, Mhe Mbatia n.k.
Bwana IDIMI, hii ngumu kumesaaaaa. Lakini tushazowea...kwani nani aliuona mwili wa x-gavana (Balali) wetu aliyefia merekani.????
 
alipata kweli ajali wala sio alikatwa mkono kwa kufumaniwa,idea ya kuukata mkono ilitolewa na madaktari wa MOI baaada ya kuona umeharibika kiasi amabacho usingeweza kutibiwa.na pia baada ya ajali alipelekwa hospitali ya nyangao iliyopo lindi,na alikuwa anaendesha yeye mwenyewe,sasa hayo ya kufumaniwa na kukatwa mkono sijui yantokea wapi wakati mkono haukukatika siki ya ajali

Hapo naona unachanganya mambo... anaweza kuwa amepelekwa hospitali, madaktari wakashauri mkono umaliziwe kukatwa and so on and so on? Lakini swali linabakia gari alilopata ajali liko wapi? Kwa nini halikupigwa picha???

Maana kama alikatwa mkono alafu akawahishwa hospitalini kabla haujamalizikia kuachana then hizo stori zote za madaktari kushauri etc etc bado zinakuwa applicable! Umenipata au umechagua kutokuelewa?
 
alipata kweli ajali wala sio alikatwa mkono kwa kufumaniwa,idea ya kuukata mkono ilitolewa na madaktari wa MOI baaada ya kuona umeharibika kiasi amabacho usingeweza kutibiwa.na pia baada ya ajali alipelekwa hospitali ya nyangao iliyopo lindi,na alikuwa anaendesha yeye mwenyewe,sasa hayo ya kufumaniwa na kukatwa mkono sijui yantokea wapi wakati mkono haukukatika siki ya ajali

Hapo naona unachanganya mambo... anaweza kuwa amepelekwa hospitali, madaktari wakashauri mkono umaliziwe kukatwa and so on and so on? Lakini swali linabakia gari alilopata ajali liko wapi? Kwa nini halikupigwa picha???

Maana kama alikatwa mkono alafu akawahishwa hospitalini kabla haujamalizikia kuachana then hizo stori zote za madaktari kushauri etc etc bado zinakuwa applicable! Umenipata au umechagua kutokuelewa?
 
Bwana IDIMI, hii ngumu kumesaaaaa. Lakini tushazowea...kwani nani aliuona mwili wa x-gavana (Balali) wetu aliyefia merekani.????

Of course, ngumu sana kumesaaaaa!
Balali 'alishazikwa' hata kabla hatujatangaziwa!
Sina haja ya kufafanua

Ila bado nasisitiza, kwa kipindi hicho cha ajali ya Mheshimiwa Mudhihir nilijaribu kupitia blog zote maarufu kusaka picha za gari lakini nikatoka patupu, pamoja na simu zetu zote kuwa na kamera!
Kweli duniani kuna siri!
 
Joka la Mdimu ni mwanaume kweli...alichagua kupoteza mkono kuliko kubikiriwa!....hayo mambo yapo sana Lindi na Mtwara. Mheshimiwa inasemekana alifumaniwa, akakataa kuliwa, akakubali akatwe mkono...yep huyo ndio muheshimiwa...uliwe halafu utakuwa mheshimiwa tena?....eboo!
 
Hii Ilitokea maeneo ya karibu na Oysterbay police jana mchana; Dada mwenye Red akiwa na hiyo Suzuki aliigonga Nissan patrol ya mchina (hayuko pichani) kwa nyuma baada ya mchina huyo kukaka kona ya ghafla kwenye U-turn bila kuwasha indicator. Hivi kwa sheria za barabarani nai mwenye kosa hapo? aliegonga kwa nyuma au aliekata kona bila kuwasha indicator?

attachment.php


attachment.php
 

Attachments

  • IMG00307-20100307-1501.jpg
    IMG00307-20100307-1501.jpg
    55.1 KB · Views: 339
  • IMG00310-20100307-1503.jpg
    IMG00310-20100307-1503.jpg
    62.1 KB · Views: 336
  • IMG00308-20100307-1503.jpg
    IMG00308-20100307-1503.jpg
    68.9 KB · Views: 343
  • IMG00309-20100307-1503.jpg
    IMG00309-20100307-1503.jpg
    70.6 KB · Views: 347
Mi kinachoniacha hoi ni hii picha ya chini kwenye Nissana Patrol.
Nilipigwa picha bila ridhaa yangu wakati napita, down to my errands!(in blue labelled tshirt)...Mfunyukuzi, plz tell me what is this!...
 
Mi kinachoniacha hoi ni hii picha ya chini kwenye Nissana Patrol.
Nilipigwa picha bila ridhaa yangu wakati napita, down to my errands!(in blue labelled tshirt)...Mfunyukuzi, plz tell me what is this!...

Wewe ni yupi in particular weka alama tukuone vizuri??
 
Back
Top Bottom