Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Mi kinachoniacha hoi ni hii picha ya chini kwenye Nissana Patrol.
Nilipigwa picha bila ridhaa yangu wakati napita, down to my errands!(in blue labelled tshirt)...Mfunyukuzi, plz tell me what is this!...

hahahah PJ acha vituko 🙂
 
Mi kinachoniacha hoi ni hii picha ya chini kwenye Nissana Patrol.
Nilipigwa picha bila ridhaa yangu wakati napita, down to my errands!(in blue labelled tshirt)...Mfunyukuzi, plz tell me what is this!...

CAUTION: siku nyingine ukiona ajali yeyote usipite hapo jaribu kutafuta njia mbadala maana vyombo vya habari ni vingi wakijaribu kupata matukio.

BTW: yu look good.
 
Hata mimi nimekuwa nikijiuliza sheria ya usalama barabarani ikoje, ni kweli wakati mwingine wa gari ya mbele inagongwa kwa nyuma lakini ni yeye mwenyewe aliyefanya uzembe! Labda gari ya nyuma inabanwa na zile mita kadhaa zinazotakiwa ziachwe kati ya gari na gari!
 
Aliyekata kona kwa ghafla ndie mwenye kosa kubwa na anstahili kumlipa huyo dada
 
(picha ya Nissana Patrol) chini, Tshirt ya bluu na suruali ya jeans...nashindwa ku'mark.
Sura inafanana na mdeni wangu wa zamani. Kumbe ni wewe PJ? Tulipane basi? tehe tehe tehe!
 
Sheria kusema ukimgonga mtu kwa nyuma wewe ndo una makosa haikukosea kamwe!
Kwani sheria hiyo hiyo inasema kama unaendesha nyuma ya mtu basi hakikisha upo umbali wa ~100m! kwa mantiki hiyo hata akipiga breki ya ghafla au akikata kona ya ghafla utaweza kusimama bila kuleta ajali yeyote!
Nawasilisha...
 
........... Nimesikiliza morning brekfast asubuhi clouds fm😕 wanasema kuna ajali imetokea tena kati ya gari dogo na fuso huko kibamba palepale ilipotokea ile ajali ya hiace iliyobondwabondwa na gari kubwa la mafuta mpak ikawa ka chapati sasa leo asybuhi imetokea hii nyingine na kwa taarifa za haraka haraka watu wa5 hapo hapo.........HIVI HII JAMANI INAKUWAJE......lazima tujiulize mana ajali ni the same spot na ile ya mwanzo....wanasema mambo ya kiswahili yanashukiwa kuhusika......
 
Nimesikiliza morning brekfast asubuhi clouds wanasema kuna ajali imetokea tena kati ya gari dogo na fuso huko kibamba palepale ilipotokea ile ajali ya hiace iliyobondwabondwa na gari kubwa la mafuta mpak ikawa ka chapati sasa leo asybuhi imetokea hii nyingine na kwa taarifa za haraka haraka watu wa5 hapo hapo.........HIVI HII JAMANI INAKUWAJE......lazima tujiulize mana ajali ni the same spot na ile ya mwanzo....wanasema mambo ya kiswahili yanashukiwa kuhusika......

Too Bad kama ni kweli!

Hapo mahali kuna nini?...Wataalamu mbalimbali wakae pamoja na kujaribu kuona wataondoaje uwezekano wa ajali zisizo za lazima mahali hap.
Inasikitisha kuona watanzania wenye mipango, ndoto na malengo katika maisha yao na familia zao wanaishia hapo hapo kila siku!
Mzigo wa yatima wanaoachwa utabebwa na nani?
 
nimejiuliza nimeshindwa kupata how come.....mama,baba,mtoto,shangazi kaka antoka asubuhi unajua atarudi halafu unaskia kitu kama hiki.....its not fair something must be done......kuzuia ajali za kila siku
 
........... Nimesikiliza morning brekfast asubuhi clouds fm😕 wanasema kuna ajali imetokea tena kati ya gari dogo na fuso huko kibamba palepale ilipotokea ile ajali ya hiace iliyobondwabondwa na gari kubwa la mafuta mpak ikawa ka chapati sasa leo asybuhi imetokea hii nyingine na kwa taarifa za haraka haraka watu wa5 hapo hapo.........HIVI HII JAMANI INAKUWAJE......lazima tujiulize mana ajali ni the same spot na ile ya mwanzo....wanasema mambo ya kiswahili yanashukiwa kuhusika......
mkuu hapo ujui ni nini ahaa ni kafara zao hawa jamaa kuelekea uchagu tutaona mambo mengi sana mie labda tufunge barabara ya baga heart itakuwaje
Conquest- ukwaju ni juisi au chachandu
 
bro. imekuwa ni jambo la kawaida sasa maana mie nakaa ktk ile road wanakokwenda kwa bibi kuchukua mavituzi sasa wameambiwa ni kukill watu for the winning of 2010 election
Conquest-ukwaju chachandu au juice.
 


asante kwa taarifa mrembo....lakini hii kitu yako wewe unaona iko poa kabisa?dada zetu mmepinda...hii kitu ingefaa zaidi katika lile jukwaa la marie rozi....!!!
 


Hapa huyu jamaa anatuchanganya...anaeleza habari za ajali wakati avatar inachezEshwa gulio-KATERERO!
 


asante kwa taarifa mrembo....lakini hii kitu yako wewe unaona iko poa kabisa?dada zetu mmepinda...hii kitu ingefaa zaidi katika lile jukwaa la marie rozi....!!!

Umejuaje kuwa huyu ni mdada/mrembo? Labda ni HE?kuweka avatar ya kike sio lazima mtu awe mwanamke,hata wanaume wanaweka na wanaweza kujiita wanawake kumbe wanaume.
 
Back
Top Bottom