Mlisema hakuna wakumzuia Magufuli! Yuko wapi leo? Yatatokea tena na tena tendeni haki!. Tuliwaambia wakati wa Magufuli na tunarudia tena. Kama kweli mnapenda viongozi na Tanzania wekeni mifumo ya haki bila hivyo Mungu atasafisha mwenyewe na kuondoa wale wote wasiopenda kutoa haki.
Yule aliyekuwa katibu wa CCM wakati wa Magufuli ndugu zake nakumbuka wakilia na kufanya maombi ili Dr Bashiru apone Covid. Nakumbuka waliweka mpaka prayer line ndugu zake na huyu mwizi wa kura na mnunuzi wa wapinzani alikuwa analia na kutubu sasa katulia tuli. Msijisahau. Mungu yupo
Msije kufikiri kudanganya watu hapa itasaidia au uchawa utasaidia. Mungu metoa nafasi kwa viongozi hawa wasiko jirekebisha watakipata tutawasahau. Mjue Mungu anamtoa Mpango ambaye ni makamu kwasababu ya usafi wake hata Covid yeye alipona na kuanzia hapo ni mpole kweli kweli na ndiyo maana kajitoa anajua hili ni bomu No reform no election naona wengi hamjaielewa bado ni kitu cha imani kuliko ujeshi jeshi
Wote wapenda haki Mungu atawasaidia bila kujali vyama wakina Warioba ni watu wakubarikiwa sana
Yule aliyekuwa katibu wa CCM wakati wa Magufuli ndugu zake nakumbuka wakilia na kufanya maombi ili Dr Bashiru apone Covid. Nakumbuka waliweka mpaka prayer line ndugu zake na huyu mwizi wa kura na mnunuzi wa wapinzani alikuwa analia na kutubu sasa katulia tuli. Msijisahau. Mungu yupo
Msije kufikiri kudanganya watu hapa itasaidia au uchawa utasaidia. Mungu metoa nafasi kwa viongozi hawa wasiko jirekebisha watakipata tutawasahau. Mjue Mungu anamtoa Mpango ambaye ni makamu kwasababu ya usafi wake hata Covid yeye alipona na kuanzia hapo ni mpole kweli kweli na ndiyo maana kajitoa anajua hili ni bomu No reform no election naona wengi hamjaielewa bado ni kitu cha imani kuliko ujeshi jeshi
Wote wapenda haki Mungu atawasaidia bila kujali vyama wakina Warioba ni watu wakubarikiwa sana