Hawa ni wamachinga wakifanya biashara zao barabarani bila kujali hatari inayoweza kutokea.
Ni kweli kwamba kila Mmoja wetu ana haki ya kujitafutia riziki, lakini riziki ya namna hii yaweza kuleta Maafa ya kukumbukwa milele.
Baada ya Maafa Chalamila ataunda Tume ya Uchunguzi .
Treasury Secretary Janet L. Yellen said on Tuesday that it would be a mistake for the United States to try to “decouple” from China and called for deepening economic ties between the world’s two largest economies.
The comments came as the Biden administration has been seeking to improve...
Kwanza mafuta yenyewe tayari yameshakuwa too expensive, sioni shida huu usumbufu wa parking nao tukaepukana nao, tulipe hiyo parking fees huko huko kwenye mafuta tujue moja.
Hizo pesa za kuwalipa watu kuzunguka na vimashine nchi nzima kwenye jua kali ni bora wakafanya Sensa tu. Wenye magari...
Mwaka 2012, Makamu wa Rais wa Malawi, Joyce Hilda Banda alichukua nchi baada ya kifo cha Rais Bingu wa Mutharika. Waliomuwekea mizengwe kipindi anatakiwa akabidhiwe nchi, alikuja kuwashughulikia alipokuwa Rais. Akawa mwanamke wa kwanza kuongoza Taifa hilo.
Akaingia madarakani, akawa...
Katika jambo kubwa ambalo nafikiri wengi hawaliongelei na hawataki kulielewa huenda labda ni makusudi waone kuna kitu gani mwishoni ni kuhusu mwenendo mzima wa kesi ya Ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa taifa wa CHADEMA Mhe Freeman Mbowe. Kuna mtego mwingine mkubwa kwenye hii kesi na...
Mimi siyo mganga kama MziziMkavu au Mshana Jr , mimi sina kinyongo kama Kitimoto pia mimi nipo timamu kabisa sina mizengwe kama Dj DON NALIMISON wala mimi siyo intelijensia kama Infantry Soldier
Natabiri yafuatayo;
Kwenye hii miezi mitatu yaani watisa, kumi na kumi na moja yafuatayo yatatokea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.