Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,032
- 2,769
Tañgu zama na zama ufaransa na hasa jiji la Paris ndio limekuwa linasifiwa kwa usafi na ustaarabu! Hata ukitembelea majiji mengine usafi kwa wafaransa ni jadi Yao !
Hao kunguni wametoka wapi ? Nini chanzo chake ? Kwa afrika mtu akiwa na kunguni hata mmoja kwenye shati yake ni tukio la aibu na fedheha kwa sababu hutafsiriwa kama uchafu !
Je hao kunguni Ninini chimbuko lake ama ni pigo la mungu katika nyakati hizi za mwisho ! Katika rejea ya maandiko matakatifu Kuna miji mungu amewahi kuipiga mapigo ya wadudu
Mfano wake ni misri ambapo mungu aliamuru vyura wazagae mji mzima mpaka vyumbani wanakolala watu ,kitanda Cha pharaoh kilijaa vyura Hata aliposalimu amri , !
Na baadae akaongeza pigo lingine la chawa mpaka ikulu ya pharaoh !
Je Ninini kinaikumba ufaransa?
Hao kunguni wametoka wapi ? Nini chanzo chake ? Kwa afrika mtu akiwa na kunguni hata mmoja kwenye shati yake ni tukio la aibu na fedheha kwa sababu hutafsiriwa kama uchafu !
Je hao kunguni Ninini chimbuko lake ama ni pigo la mungu katika nyakati hizi za mwisho ! Katika rejea ya maandiko matakatifu Kuna miji mungu amewahi kuipiga mapigo ya wadudu
Mfano wake ni misri ambapo mungu aliamuru vyura wazagae mji mzima mpaka vyumbani wanakolala watu ,kitanda Cha pharaoh kilijaa vyura Hata aliposalimu amri , !
Na baadae akaongeza pigo lingine la chawa mpaka ikulu ya pharaoh !
Je Ninini kinaikumba ufaransa?