Mlipuko mkubwa waitikisa Arusha!

Hii kweli inatisha nilivyosikia ikabidi nifanye bidii kumtafuta Mafie ambaye muda mwingi huwa anapenda tukutanie hapo ila leo alipita akaenda Sakina Hii inatisha ila ninamaswali mengi
Huu ni mlipuko wa 3 Arusha na 2 mikubwa iliyotan"gulia vyombo vya dola vya Usalama havijatoa taarifa mpaka kesho na matukio yanaendelea je kuna maslahi gani? Kwa matukio haya?
Mbona matukio yanayotokea Arusha yamekuwa kama gumbo la muungano wa serikali 2?
Hebu wahusika wa Usalama wakitathmini
 
Naona leo umeazima akili ya Le mutu kidogo uposti nayo....duh..huyu jamaa le mutu kurestructure akili yake iendane na umri na mwili wake ni kazi kweli kweli.

JF raha sana, hata kwenye "sredi" za majonzi waweza pata faraja.. Nakupenda JF.
 
Pancha hiyo...watu tuko tunaendelea kupata kinywaji kama kawaida
 
- Jamani mbona nipo hapa ndio kwanza tumetoka mpirani na sijasikia kitu mkuu au?

Le Mutuz System
Taratibu kiongozi taarifa hizi zinatoka kila upande si vema kuhoji jambo hili kwa haraka watu watakuzushia sivyo... any way hebu ngoja tupate uthibitisho...
 
Haya mambo tulikuwa taratibu tumezoea yakitokea kwa wenzetu, na sasa tunayashuhudia.

Mungu atunusuru na matukio haya
 
Acha uwoga heri vita inayotafuta haki bana.
Haya mambo tulikuwa taratibu tumezoea yakitokea kwa wenzetu, na sasa tunayashuhudia.

Mungu atunusuru na matukio haya
 

Nimekumbuka utabiri wa TB JOSHUA juu ya club east africa kulipuliwa na raisi africa kutekwa.
 
CHADEMA wameigeuza Arusha kuwa sehemu ya mashaka sana!

Huna lolote wewe, akili zenu tunazitambua. Kwa taarifa yenu kesho akili zetu ni mjengoni kama kawaida na mnapigwa goli tatu kama wiki iliyopita. Hamuwezi ku-divert mada kwa kutumia damu za watu..
 
Breaking News!!!!!
Arusha hivi punde watu wamerusha bomu la mkono kweny bar maarufu inayoitwa Arusha Night Park au ------ Bar iliyopo eneo la Mianzini inasemekana watu wawili wamepoteza maisha ila majeruhi ni wengi sana tukio hili ni ndani ya nusu saa iliyopita. Watu kibao walikuwa wanacheki mpira unaambiwa watu wamekatika mikono yaani balaa majeruh ni wengi mno........chanzo hakijafahmik
 
...

.....Alaaniwe yeye na kizazi chake aliye nyuma ya tukio hili !!!
 

umekurupuka usingizini,!?
 
Yaani hii yote ni kwa ajili ya ku-divert issue ya serikali 3!!!!!?

Ama kweli CCM imechoka!Yaani inatumia damu za watu kufanikisha malengo yake!!?

Hatutaendelea chini ya CCM!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…