hahahahahahhah, mkuu hiki sio kiroba ni gunia ndio utakua umekunywa!!!!!!! na ikiwezekana milipuko hiyo iweinatokea kwenye serikali zote zitakazoundwa.
Hii bar c ndo inaitwa makalio-- bar, na huwa panajaa sana siku ya mechi hasa leo palifurika maana mwenye bar ni mdau mkubwa wa barcelona, na leo barcelona ilicheza na man city, so cjui lakini inawezekena japo nakaa karibu na cjasikia hizo habari.
Mkuu kama unakaa karibu na haujasikia basi tumshukuru Mungu kama sio ukweli, lakini habari yako ya leo manchester city kucheza na Barcelona inanitia shaka, leo Liverpool ilicheza na Man City na Barcelona ilicheza jana na Granada na kufungwa moja bila..
Mods kama hii habari haina ukweli naomba huu uzi ufutwe tuache kutiana presha za bure
Naona leo umeazima akili ya Le mutu kidogo uposti nayo....duh..huyu jamaa le mutu kurestructure akili yake iendane na umri na mwili wake ni kazi kweli kweli.