Mlipuko mkubwa waitikisa Arusha!

Manga, lengo ni jf be the first to know, akiishapata habari kamili, atamalizia!.
Pasco
 
Ahsante sana mkuu kwa taarifa, na pole kwa wale walioguswa na huu mkasa!
 

------ bar bomu limelipuka, Arusha karibia na mianzini
 
Inasemekana ni Transformer limepasuka na umeme baadhi ya sehemu hakuna Arusha.
 
- Jamani mbona nipo hapa ndio kwanza tumetoka mpirani na sijasikia kitu mkuu au?

Le Mutuz System
inategemea na mpira kama ndo ule uliozoea utasikia saa ngapi na muda huo labda ndo ulikuwa unafunga goli la pili, huwezi sikia mkuu hata Kama mlipuko ungetokea uwanja wako wa pambano!
 

Olasiti na unga ltd? Kwani unga ltd kulitokea nini? Na wewe usiandike kama hujui kitu.
 
kwanza fikeni eneo la tukio ili mtoe habar za uhakika.
 
------ bar ndo imelipuliwa. Watu wameumia. Hatari sana. Sijui rafikibyangu mwoleka ana hali gani.
 
Kuna taarifa kuwa kuna mlipuko inasadikiwa kuwa ni bomu katika baa inayojulikana kama Matko bar.....Arusha by night ( not sure of a correct name).

kuna majeruhi wamepelekwa Dr Mohamed tank la maji.

source. mimi mwenyewe nimesikia kishindo nikiwa hospital ya Mohamed tank la maji.
 
Moderator saidia kuunganisha hii Uzi na ule ulizokwisha anza zaidi ya lisaa lililopita, jamaa amesahau kuwa hapa Kila sekunde watu wanatupia thread!
 
Last edited by a moderator:
mi pia nimeskia kishindo hapa mianzini kama kuna taarifa zaidi tutaarifu
 
💣💣💣 Mbona hamsemi ugaidi au mpaka miripuko hiyo itokezee sehemu nyengine ndio iwe ugaidi 💣💣💣💣💣💣
 
Hata me meskia ni bomu..nimeona watu wamepelekwa selian hosp
 
nipo eneo la tukio mkuu wa polisi ndo ameondoka muda sio mrefu, eneo limezungushiwa police line, wanaendelea na uchunguzi....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…