Mliowahi kubadili kazi, naombeni ushaur!!!!

UMUNYU

JF-Expert Member
Jan 28, 2017
685
484
Mimi ni mfanyakazi katika kampuni moja ambapo mshahara wangu ni sh.480,000/=kabla ya makato NSSF!

Sasa ni mwaka wa nane naona kama sisongi mbele kimaisha isipokuwa nimefanikiwa kuoa na kuanzisha familia na kumsomesha mdogo wangu chuo cha afya ngazi ya cheti.

Ni mwaka sasa ninafanya kazi ya kuajiriwa lakini nafsi hainipi kabisa!! Akili zinanisonga sana niwe mjasiliamali kwani huku ninaona ninapoteza muda wangu hasa nikigawanya kiasi ninachopata nikilinganisha na muda!!

Elimu yangu ni chuo kikuu!!
 
ujasiria mali una mtaji na wazo bora pia??? ah unaenda ujasiriamali wa kubahatisha bahatisha
 
Mimi ni mfanyakazi katika kampuni moja ambapo mshahara wangu ni sh.480,000/=kabla ya makato NSSF!Sasa ni mwaka wa nane naona kama sisongi mbele kimaisha isipokuwa nimefanikiwa kuoa na kuanzisha familia na kumsomesha mdogo wangu chuo cha afya ngazi ya cheti.Ni mwaka sasa ninafanya kazi ya kuajiriwa lakini nafsi hainipi kabisa!!Akili zinanisonga sana niwe mjasiliamali kwani huku ninaona ninapoteza muda wangu!!Hasa nikigawanya kiasi ninachopata nikilinganisha na muda!!Elimu yangu ni chuo kikuu!!
mwanangu 480,000/=kabla ya makato hutoki hata arudi yesu...
 
Mimi ni mfanyakazi katika kampuni moja ambapo mshahara wangu ni sh.480,000/=kabla ya makato NSSF!Sasa ni mwaka wa nane naona kama sisongi mbele kimaisha isipokuwa nimefanikiwa kuoa na kuanzisha familia na kumsomesha mdogo wangu chuo cha afya ngazi ya cheti.Ni mwaka sasa ninafanya kazi ya kuajiriwa lakini nafsi hainipi kabisa!!Akili zinanisonga sana niwe mjasiliamali kwani huku ninaona ninapoteza muda wangu!!Hasa nikigawanya kiasi ninachopata nikilinganisha na muda!!Elimu yangu ni chuo kikuu!!
Unataka kufanya nini hasa ?

1. Kuwa mfanyabiashara au


2. Kubadilisha kazi na kupata kazi nyingine ?

Na tatizo lako hasa ni nini ?

!. Udogo wa Mshahara au

2. Kazi ya kuajiriwa hazikupi Amani ?
 
Mimi ni mfanyakazi katika kampuni moja ambapo mshahara wangu ni sh.480,000/=kabla ya makato NSSF!Sasa ni mwaka wa nane naona kama sisongi mbele kimaisha isipokuwa nimefanikiwa kuoa na kuanzisha familia na kumsomesha mdogo wangu chuo cha afya ngazi ya cheti.Ni mwaka sasa ninafanya kazi ya kuajiriwa lakini nafsi hainipi kabisa!!Akili zinanisonga sana niwe mjasiliamali kwani huku ninaona ninapoteza muda wangu!!Hasa nikigawanya kiasi ninachopata nikilinganisha na muda!!Elimu yangu ni chuo kikuu!!
Start where you are. Usiache kazi kabla hujazoea ujasiliamali make nako kule jiwe limebana kila kitu biashara nyingi hazisogei kutokana na mfumo mbovu wa TRA
 
Mimi ni mfanyakazi katika kampuni moja ambapo mshahara wangu ni sh.480,000/=kabla ya makato NSSF!Sasa ni mwaka wa nane naona kama sisongi mbele kimaisha isipokuwa nimefanikiwa kuoa na kuanzisha familia na kumsomesha mdogo wangu chuo cha afya ngazi ya cheti.Ni mwaka sasa ninafanya kazi ya kuajiriwa lakini nafsi hainipi kabisa!!Akili zinanisonga sana niwe mjasiliamali kwani huku ninaona ninapoteza muda wangu!!Hasa nikigawanya kiasi ninachopata nikilinganisha na muda!!Elimu yangu ni chuo kikuu!!
Mkuu mimi nimepiga chini 500k juzi tu j3 hapa najinga nikapambane kivyangu utumwa umenishinda!
 
hata baada ya makato.. maisha yamepanda sana.

hata kwa net milioni kwa mwezi kutoka sio kazi rahisi
Mi nipo 1.5 kabla ya makato lkn nataka niwe mjasiliamali....Hali tete mkuu siku 15 mpaka 18 bank tayari kimekauka....kazi yenyewe hata muda wakulima mchicha Sina unatoka usiku unarudi ucku....
 
ujasiria mali una mtaji na wazo bora pia??? ah unaenda ujasiriamali wa kubahatisha bahatisha
Yaani kila nikikaa hamu ya kuajiriwa inanitoka!Nilienda kumtembelea rafiki yangu kule kijijini nikamkuta ana kuku 250 tu wa kienyeji na ngombe wawili wa maziwa kwa mwezi anapata sh.1,800,000/= hicho akaniambia ni kiwango cha chini halafu yeye bado anafuga kienyeji mno!!!!Kuna wakati anapata pesa nyingi mno
 
mwanangu 480,000/=kabla ya makato hutoki hata arudi yesu...
Ukuwasikiliza hao utachemsha mkuu hao ni "pessimists" hiyo hera sio mbaya unaweza kuitumia kujiongezea kipata bila kuacha ajira yako......kujiajiri kuna changamoto nyingi kama huna backing nyuma yako ata nauli unaweza kukopa usipo angalia.
 
Inategemea ana plani gani, chamsingi ni kuweka mikakati ya kutoka pale alipo. Hata wanaopata 1,500,000 kama wanashinda baa anawazidi akijipanga.
Hukuzaliwa kushinda njaa njaa mkuu, mishahara mingi ya Watanzania ukitaka at least uweze kujiendesha "Afadhali"kwa nyumbn basi wewe kazini ushinde njaa, Sasa unafanya kazi Ili iweje ukipata madonda ya tumbo hela hiyo hiyo ukaanze kujitibia Tena...
 
Unataka kufanya nini hasa ?

1. Kuwa mfanyabiashara au


2. Kubadilisha kazi na kupata kazi nyingine ?

Na tatizo lako hasa ni nini ?

!. Udogo wa Mshahara au

2. Kazi ya kuajiriwa hazikupi Amani ?
Mshahara hauendani na muda wa kufanya kazi!!!Ninaona kama namfaidisha mno mwajiri.Halafu nimeanza kuwa na woga na imani ya kijinga kuwa bila hii kazi hakuna maisha
 
Ukuwasikiliza hao utachemsha mkuu hao ni "pessimists" hiyo hera sio mbaya unaweza kuitumia kujiongezea kipata bila kuacha ajira yako......kujiajiri kuna changamoto nyingi kama huna backing nyuma yako ata nauli unaweza kukopa usipo angalia.
Unaogopa changamoto mkuu... utakufa kibudu...hakuna mtu aloendelea duniani aloajiliwa....
 
Ukuwasikiliza hao utachemsha mkuu hao ni "pessimists" hiyo hera sio mbaya unaweza kuitumia kujiongezea kipata bila kuacha ajira yako......kujiajiri kuna changamoto nyingi kama huna backing nyuma yako ata nauli unaweza kukopa usipo angalia.
Asante kwa ushauri!Sasa ninaweza kufanyaje nijiongezee kipato kwa pesa hiyo?
 
N vzr ukaanza huo ujasiriamali ukiwa kazn halaf baadae ndo u quit mambo yakiwa poa, mana hapo unabet. Kuna watakao kuambia waliacha wakafanikiwa kumbe waliacha kazi ya kuchimba makaburi wakahamia kwenda kuomb tenda za kulia misibani.
 
N vzr ukaanza huo ujasiriamali ukiwa kazn halaf baadae ndo u quit mambo yakiwa poa, mana hapo unabet. Kuna watakao kuambia waliacha wakafanikiwa kumbe waliacha kazi ya kuchimba makaburi wakahamia kwenda kuomb tenda za kulia misibani.
Asante kwa ushauri!!!
 
Inategemea ana plani gani, chamsingi ni kuweka mikakati ya kutoka pale alipo. Hata wanaopata 1,500,000 kama wanashinda baa anawazidi akijipanga.
Tatizo kila ninachopanga naona kila kinapotaka kuendelea ninajikuta ninakosa muda wa kukisimamia kwani muda mwingi ninakuwa kazini
 
Asante kwa ushauri!Sasa ninaweza kufanyaje nijiongezee kipato kwa pesa hiyo?
Mbinu za kufanya hazifanani zinabadilika kulingana na mazingira unayo ishi na mtu mwenyewe.....kwamfano mie mwaka 2007 mshahara wangu ulikua TGs D nilikua na pokea 280,000, nilitumia hera hiyo kuakisha naongeza kipato kabla ya kuacha kazi, na Baada ya miaka miwili niliacha ajira nilivo ona niko stable angalau 40% kwa risk analysis. Now niko ok. Na chojivunia naweza ku afford kulipia watoto angu ( 3) ada katika shule nzuri za private pamoja na usafiri. Hii "mediocre" elimu bure ya JPM nimenusurika kuteketeza watoto angu kielimu.
 
Back
Top Bottom