Kilaza Flani
Member
- Oct 27, 2011
- 61
- 2
- Thread starter
- #61
Inawezekana tunakushauri tuu hapa ila kumbe huna mpango wala effort zozote za kumtafuta huyo mke.
Umefanya juhudi gani kutafuta mke
Umejiwekea lengo gani na kwa muda gani kumpata huyo mke
Na je vigezo gani umeweka kumpata huyo mke
Na je unatafuta mke wa kuoa mwaka huu au mwakani au baada ya miaka mingapi
vigezo vipo mkuu, ktk muda kiukweli ipo wazi, akipata afaae, maandaliz yanaanza