wanapatikanapopote duniani humu
Ningekua mwanaume na nimeoa ningekwambia pa kwenda
Mie nilimpata humu humu.
OTIS
mi ni mwanaume ila sijaoa labda ndo maana sioni pa kwenda.. ila nipe mwanga
Wewe utakua ndio wale wakaka ambao hutoka na ladies, akidhania kua siku akitaka kuoa ataselect toka kwenye shelve..... Ukisahau kabisa kua wadada wa kulala nao ni wengi wa kila sampuli na kila kona; ila wale ambao ni worth it kujenga nao mahusiano ni adimu. Ukisahau kabisa kujiandaa kua walau two years before hujaoa jiandae kuanza kutafta a partner ambae utaona atafaa kua mke. Saizi unataka kuoa ndio unakuta kumbe sio lelemama wala sio mchezo, wadada wa kuoa hawapo.... wapo almost absent.... na bahati mbaya saana upo pressured by the fact kua sasa it is time. Nikwambie kweli kabisa kazi unayo, hivo brace your self.....
USHAURI.
Unataka mke wa kuoa yatakiwa umakini sababu ndoa bana is for life.... inatakiwa utulize akili na huyo mdogo wako pia umtulize na kikubwa I am genuienly telling you usimsahau kumshirikisha mwenyezi Mungu. Punguza kidogo vigezo, vya the type of woman you want,... Naamini kabisa una vigezo na kama wachukua list ya vigezo vyako kama njia ya kumpata unae ona ana qualify utakesha. Enways nakutakia kila la kheri katika kumpata....
inawezekana anakupa wa kufanana na wewe, badilika uone.
Ndugu yangu mke huwa hatafutwi, yani inatokea tu una date mtu hadi unaona mmh hapa sasa sina ujanja.
kaka shukuru unapata kugundua kuwa wenzio unaokuwa nao sio waaminifu!! kuna watu hawakugundua hayo mapema, au waligundua ila wakalazimisha kuingia kwenye ndoa, wakazaa na kuanza maisha kwenye ndoa zao, saizi wanaonja shubiri (chungu) kwa maisha magumu ya ndoa... naomba nikutie moyo mkuu kuwa "mke bora hutoka kwa bwana (muumba)". Ukiona hivyo ujue bado muumba hajakutengea wako!!!
ILA...ILA.... kama nawe umekuwa ukiwatendea wenziwako ndivyo sivyo, inawezekana muumba anafanya malipizi kwa mabaya hayo uliyotenda maana "Muosha Huoshwa", kama ndivyo, tubu mrudie muumba na omba misamaha kwa wabaya wako na halafu mpigie magoti muumba wako na omba mke bora, atakupa nakuambia...
micharuko kila sehemu, ata hakuna pa kutokea!! sijui mi ndo nna gundu.. au ndo hali ilivyo ila lile neno ambalo lipo kwenye kiapo na linasisitizwa sana 'uvumilivu' linachukua nafasi yake!!
aise wake walishaisha
Ikifika siku Mungu atatuma malaika uitaona anakuonyesha huyu ndo mke wako.
Lakini wewe hutamuona malaika.
Kwanza jiulize ulishajitambua ni mwanamke wa aina gani unamtaka
Leo hii ukiniuliza nilimpataje mama Ngina hata sikumbuki...................... haya mambo huwa yanatokea Automatikale.
Sa ukali wake upi, wewe unadhani utaoa bila mungu kupenda.duh!!!! iyo kali sasa
micharuko kila sehemu, ata hakuna pa kutokea!! sijui mi ndo nna gundu.. au ndo hali ilivyo ila lile neno ambalo lipo kwenye kiapo na linasisitizwa sana 'uvumilivu' linachukua nafasi yake!!
aise wake walishaisha
Kama una kwama waambie wazazi waku-postie. Ukizingatia ndoa za zamani za kupangiwa zilidumu zaidi