Tumbo Tambarare
JF-Expert Member
- May 10, 2017
- 210
- 146
Hakika kama wewe huoni anachokifanya Rais wa sasa, basi ulikuwa ni mfaidika wa mfumo uliokuwapo wa kifisadi.Ina maana wewe huoni kwamba utendaji wa srkl umebadilika na kuwa bora kuliko siku za nyuma? Au nikuulize swali dogo..Hivi hapo unapoishi umeme umekatika lini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app