Mliompigia debe Magufuli nawauliza swali...

Mliompigia debe Magufuli nawauliza swali...

Swali zuri ...hivi kati ya EL na JPM yupi Chadema ilitusaidia kumjua vizuri zaidi? In short Chadema ilifanikiwa sana kumbomoa EL na mwisho kushindwa hadi kupitia chama chao. Labda nikuulize ....hivi unamtemaje Dr Slaa miezi michache kabla ya uchaguzi (ingawa wengine watasema alitoka mwenyewe bila kujua steps). Tumevurugwa na Chadema sana ....kama akili zako zipo sawa unahitaji PHD ya kumuelewa EL ili kumpa kura badala ya JP ambaye humjui kivileee ...
Nadhani sasa JP unamjua vizuri
 
Vipi viongozi wenu wamerudi toka majuu au bado wanatumbua gawio la chama. Wewe unalalamika kuisoma namba wenzio wanatumbua gawio la chama!!
Shughuli ya chama kwa sasa wamemwachia mmiliki/mnunizi wa chama aendelee na chama chake.
magufuli anaongoza nchi sio chama chadema ikifa leo wataharibikiwa wanaofaidika na chadema,ikiangamia nchi tutakwisha wote nyi jifanyeni hamnazo tu.mtofautishege cdm na tanzania.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Haya sasa...naona tarakimu zinaanza kusomeka vizuri kwa wote.

Sasa naomba niwaulize swali nyote nyie mliomuunga mkono MTUKUFU Magufuli na CCM yake kwenye uchaguzi mkuu ulopita [2015].

Hivi ni kitu gani mlichokiona kwa huyo jamaa hadi mkaamua kumuunga mkono na kumpigia debe awe ndo amiri jeshi mkuu?

Mliamua hivyo kwa hasira za kusalitiwa na CHADEMA au mliamua hivyo kwa kuangalia sifa alizokuwa nazo?

Na kwani ilikuwa ni lazima mumuunge mkono yeye? Manake wagombea hawakuwa Lowassa na yeye tu.

Oh well....acha tu hizo tarakimu zisomeke sasa. Labda ndo tutatia akili huko mbeleni.

Huyo mtu ana mazuri yake machache mno na mabaya yake ni mengi zaidi.
Umesahau ulivyokuwa una kenua meno kisa msukuma mwenzako leo umekosa uteuzi una mgeuka na kusahau ulivyokuwa una timbwilika?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom